Mwenyewe sielew kawezaje japo si mtoto sana kama unavyodhania almost standard six. Na anajua kutumia simu tena zaid yanguYani mtoto akabadili passwords maana yake alikumbuka password zako kisha akajaza za kwake tena kwa kuzirudia marambili kwa usahihi halafu baada ya hapo akazisahau
lipo jambo hapa
Yah kweli mkuu, yaani hapa ingekuwa haina mambo yangu ningeweza ku restart kwa njia zetu zile za kufoji ila sasa duh!Kama umemgombeza umeharibu, muache atulie ongea nae vizuri akumbuke aliyoweka. Tulia kubali ni mjanja zaidi yako, na atakusaidia. Kelele zingine zinaogopesha watoto na kuwanyima kuwa wao.
Hahaha mie kuchapa siyo rahisi kihivyo. Sema kwa jinsi nilivyobadilika kashapotea mazingira yangu muda tuVipi kichapo umeshamtembezea kwanza akili imkae sawa au umekuja kuuliza kwanza?
Huyo atakuwa anaelewa alichofanya mbaya zaidi ana uelewa na simu kuliko wewe hapo ndio tatizo lilipo
Simu ipo connected na internet? Ukikosea sana itakupa option ya kuweka email na passwordMtoto kabadili password kwenye simu yangu sumsang s8 plan
Naomba msaada jinsi ya ku unlock bila kufuta taarifa zangu zozote yaani bila ku restart simu sababu ni za mhimu sana
Nakumbuka Email address na password yake tu.
Unaweza jaribu kutumia chimera tool nazani uki2mia credit na ikiwa pto account inaweza zisoma hizo passMtoto kabadili password kwenye simu yangu sumsang s8 plan
Naomba msaada jinsi ya ku unlock bila kufuta taarifa zangu zozote yaani bila ku restart simu sababu ni za mhimu sana
Nakumbuka Email address na password yake tu.
daahKatumwa na mama ake huyo, we tembezea kichapo wote wawili watatoa tu hizo password
Siku zote huwa hazifanani mkuu, mwenyew mara kibao password za mambo yangu huwa nasahau hadi nirudishiwe kwa email mbadala.Hahaha! Ziloi nimecheka kweli kweli, fuata ushauri wa Chief-Mkwawa. By the way mtoto wa standard 6 anasahau vipi passwords?
Nakumbuka akaunti yangu ya Facebook nimefungua nikiwa standard 5 na passwords sikusahau. Embu mtulize akumbuke kwa uzuri.