Msaada tafadhari!!

rodian

JF-Expert Member
Feb 23, 2016
243
323
Habari,
Naombeni msaada, hivi kunatofauti gani Kati ya karma na msemo huu what's goes around comes around?
 
Ni kama msemo wa kiswahili: Apandacho mtu ndicho avunacho.
Kwamfano kwenyebiashara: ukitangaza sana biashara tegemea wateja. Ikiwa na maana watu wataisikia na kuizungumzia mwisho wa siku watanunua bidhaa yako.
 
Back
Top Bottom