Je mahakama ya mwanzo hapa nchini zina uwezo wa kusikiliza shauri la mirathi ( probate and administration case) kwa mirathi inayohusu ardhi iliyosajiriwa( registered land)?
Msaada wa kifungu cha sheria na maamuzi ya mahakama tafadhari kama ndio au hapana.
Natanguliza shukrani
Msaada wa kifungu cha sheria na maamuzi ya mahakama tafadhari kama ndio au hapana.
Natanguliza shukrani