FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,417
Kama mnavyojua akina dada na mambo ya Selfie simu inaniangusha tangu nimenunua nashindwa kujipiga Picha- Front Camera nikiset inakuwa Black tu wala haionyeshi chochote
wataalam nisaidieni please
Ijumaa Njema
wataalam nisaidieni please
Ijumaa Njema