chikanu chikali
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 1,141
- 1,826
Nimejiunga na jamii forums mtandao wa ukweli Tanzania, nashindwa kukomenti post yoyote kwani sehemu ya kukomenti haipo kabsa, tatizo ni nini? Msaada jamani
I have done it dear but things become unknownLog in
DJ sepetu
Thanks saizi kuna sehemu kama vile penyeweKama umeanzisha uzi utashindwa kucomment
Karibu sana mkuuThanks saizi kuna sehemu kama vile penyewe
AsanteKaribu sana JF.........