METHORD EMMANUEL
Member
- May 24, 2014
- 16
- 1
Habari wakuu!
Ninamdogo wangu anasoma A-level katika shule (flani) ya serikali mkoani Mtwara anataka kuihama shule hiyo. Hii ni kwasababu anadai kuwa kuna uhaba wa walimu wa sayansi katika shule hiyo kwani anachukua comb ya CBG.
Sijajua kama ni kweli lakini sinabudi kumhamisha kama anavyodai, hivyo kwa mtu yeyote anayefahamu shule nzuri ya private ya gharama nafuu na yenye mchepuo wa sayansi katika mkoa wowote anijulishe ili ni mpeleke huko.
Natanguliza shukrani.
Ninamdogo wangu anasoma A-level katika shule (flani) ya serikali mkoani Mtwara anataka kuihama shule hiyo. Hii ni kwasababu anadai kuwa kuna uhaba wa walimu wa sayansi katika shule hiyo kwani anachukua comb ya CBG.
Sijajua kama ni kweli lakini sinabudi kumhamisha kama anavyodai, hivyo kwa mtu yeyote anayefahamu shule nzuri ya private ya gharama nafuu na yenye mchepuo wa sayansi katika mkoa wowote anijulishe ili ni mpeleke huko.
Natanguliza shukrani.