kijana mgumu
Member
- Jan 26, 2013
- 48
- 15
Habari wana JF.
Dada yangu amepigiwa simu kwa No. 0222771853 jioni ya leo akiwa anahitajika kwenye usaili utakaofanyika chuo cha Ardhi kwa post ya Assistant Accountant. Kutokana na tatizo ktk simu yake kuna maneno hakuyasikia vizuri kama tarehe ya usaili na muda. Wakati anauliza hivyo vitu simu ikakatwa. Amejaribu kupiga tena hiyo namba lkn muda wote inatumika. Kama kuna mtu aliyepigiwa simu na namba hiyo naomba atujuze.
Dada yangu amepigiwa simu kwa No. 0222771853 jioni ya leo akiwa anahitajika kwenye usaili utakaofanyika chuo cha Ardhi kwa post ya Assistant Accountant. Kutokana na tatizo ktk simu yake kuna maneno hakuyasikia vizuri kama tarehe ya usaili na muda. Wakati anauliza hivyo vitu simu ikakatwa. Amejaribu kupiga tena hiyo namba lkn muda wote inatumika. Kama kuna mtu aliyepigiwa simu na namba hiyo naomba atujuze.