Msaada tafadhali wakuu

Msaada tafadhali wakuu

Ozzy petty

Member
Joined
Sep 3, 2016
Posts
8
Reaction score
0
Nime discontinue (disco) vipi ninaweza omba nafasi na wadogo zang kuanzia tarehe 12 .msaada ndugu zang maana nilipatwa na matatizo nikajikuta nafanya mitihani vibaya
 
apo cjakuelewa na wadogo zangu, ni wadogo zako au wewe
 
Nime discontinue (disco) vipi ninaweza omba nafasi na wadogo zang kuanzia tarehe 12 .msaada ndugu zang maana nilipatwa na matatizo nikajikuta nafanya mitihani vibaya
Unaruhusiwa kuomba pia na mafogo ila sijajua mkopo unatakiwa uombe tena na ushafungwa ussajili
 
Jamani naomba kuuliza Mimi nimeomba BVM,ANIMAL SCIENCE CHUO CHA SUA PAMOJA NA COURSE NYINGINE KWA VYUO VINGINE,JE NAWEZA NIKAPATA KWA USHINDANI ULIOPO MANA NILIPATA GPA YA 4.3 ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION NA OLEVEL NILIPATA DIV 2 YA 21?
 
Nadhani anasema kuwa amefeli kwahiyo haruhusiwi kuendelea kusoma tena chuoni hapo alipo kwa sasa, ila anauliza je inawezekana kuapply upya akasoma na watakao ingia mwaka huu first year(hao ndio wadogo zake)? Kama nimemuelewa vizuri na huo tu ndio mchango wangu kwa sasa.
 
Nadhani anasema kuwa amefeli kwahiyo haruhusiwi kuendelea kusoma tena chuoni hapo alipo kwa sasa, ila anauliza je inawezekana kuapply upya akasoma na watakao ingia mwaka huu first year(hao ndio wadogo zake)? Kama nimemuelewa vizuri na huo tu ndio mchango wangu kwa sasa.
Itawezekana kuapply upya
 
Jamani naomba kuuliza Mimi nimeomba BVM,ANIMAL SCIENCE CHUO CHA SUA PAMOJA NA COURSE NYINGINE KWA VYUO VINGINE,JE NAWEZA NIKAPATA KWA USHINDANI ULIOPO MANA NILIPATA GPA YA 4.3 ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION NA OLEVEL NILIPATA DIV 2 YA 21?
LaZIMA UPATE SHONA TULIA
 
Back
Top Bottom