great vision
Senior Member
- Jul 1, 2011
- 113
- 67
Thanks for correctLet us kwa kifupi inaandikwa let's.
Huwezi kuandika let's us
Let us start by putting a short sentence
me. As I has said earlier, I am learning. That is what I need. Be blessed!!
Thanks for correctLet us kwa kifupi inaandikwa let's.
Huwezi kuandika let's us
Let us start by putting a short sentence
Kama unajifunza taratibu basi...Habari zenu wana jf...
Nilikuwa naomba msaada kwa watalaam wa lugha ya kingereza kwani hivi sasa nimeanza kujifunza kiundani zaidi (i want to be deep) kwa hiyo unaweza ni-direct kwenye page /website/ YouTube channel yakuhusiana na hii issue, au kama na wewe unalengo kama langu waweza nipm ili tuyajenge..
karibuni wakuu...
Mkuu ugonjwa wako ni mkubwa Tafadhali fika sehemu sahihi, mfano British Council...Thanks for correct me. I hope you have noted my problem. What should I do so as i can be fluent?
That's rightyou are very right! Let's us start by putting here a short sentences. Then anyone who's good in English may correct us. Thanks
Pia unatakiwa kusema advice Kama unamaanisha ushauri yani nomino(noun) na utasema advise Kama unamaanisha tendo la kushauriwa (verb)Thank you very much for your advise
ThanksPia unatakiwa kusema advice Kama unamaanisha ushauri yani nomino(noun) na utasema advise Kama unamaanisha tendo la kushauriwa (verb)
Mfano wa advice inapotumika;
I need your advice.
Or Thanks for your advice.
Ila advise itatumika ukisema mfano;
She advised me.
Or I will advise you about career choice.
Ahsante kwa ushauri. Sehemu nilipo hakuna British council. Lakini naamini hata mbuyu ulianza kama mchicha.Mkuu ugonjwa wako ni mkubwa Tafadhali fika sehemu sahihi, mfano British Council...
Nimecheki muvi Leo .Katika sabtaito
Stering anamuuliza jambaz "Can I ask one something?
Jambazi akajibu " Yeah shoot"
Nikarudi katika kamusi kupata tafsir ya neno SHOOT....
Alimaanisha: "Yes, Ask"
Here i am your fellow English learner, let's start our free conversation in a way that we all shall realize our goal of speaking English fluently. A master let's start the mission.Thanks for advice. I will do that
OK! Thanks for accepting me Msakaa , We can start now.Here i am your fellow English learner, let's start our free conversation in a way that we all shall realize our goal of speaking English fluently. A master let's start the mission.
I think 22:00pm is a good time for me but my strong passion is in speaking English so I don't know what to do mkuuThe first of all let me your free time. So as we can be in touch.
What other way can i use to develop my speaking skills? Much better put, i reckon.If I don't have anyone to talk to, which other way can I use to practice my speaking abilities?
kweli msaada unahitajikaIf I don't have anyone to talk with. What another ways can i use to practice spoken?