Msaada tafadhali, tatizo la kusahausahau mara kwa mara

Jan 8, 2014
93
31
Heshima kwenu wakuu wote humu jamvini.
tatizo langu ni kwamba,nina mdogo wangu yuko kidato cha tatu.na maendeleo yake sio mazuri kiukwel ukilinganisha na alipokuw kidato cha kwanza.siku hizi akifundishwa anasahau mara kwa mara hata kama ni muda huohuo.tafadhal naomba msaada juu ya hili tatzo.jinsia yake ni ke.
ahsanteni,
 
Heshima kwenu wakuu wote humu jamvini.
tatizo langu ni kwamba,nina mdogo wangu yuko kidato cha tatu.na maendeleo yake sio mazuri kiukwel ukilinganisha na alipokuw kidato cha kwanza.siku hizi akifundishwa anasahau mara kwa mara hata kama ni muda huohuo.tafadhal naomba msaada juu ya hili tatzo.jinsia yake ni ke.
ahsanteni,

Pitia kitabu flani kinaitwa "The Man who lived in Present Perfect Tense" by Suzanne Corkin unaweza elewa why.
NB: Kama ni msomaji wa vitabu.
 
Tumia sana Oysters inasaidia kuondoa hilo tatizo,iwe ni supu au kukaangwa kidogo vyote sawa.
 
Kuna sababu mia kidogo za dementia. Lakini mara nyingi ni maambukizi ya virusi vya ukimwi,matatizo ya lishe, upungufu wa damu, kujichua kuliko kithiri,uzee nk
Kama yupo nyumbani waeza mwambie akapime wingi wa dam lakini pia atumie ndizi mbivu asubuhi na mchana kabla ya kula, au atwange ginger achanganye na asali ale kijiko kimoja kwa uchache kwa siku, au ale almonds na dry grapes inasaidia
 
mwambie aache punyeto, anywe maji mengi, awe na tabia ya kulala mchana pia usiku alale mapema, ale matunda ya kutosha......akifanya hiv itamsaidia.
 
wakuu kwanini punyeto inafanya mtu kupoteza kumbukumbu?
katika mboro kuna mishipa midogo minne inayotuma mawasiliano kutoka kwenye ubongo hadi katika hisia.sasa unapojichua unaiminya na kutoipa nafasi streit.kwa hiyo inafanya kupoteza hisia na kumbukumbu.
 
wakuu kwanini punyeto inafanya mtu kupoteza kumbukumbu?

Sijaona literature inayoelezea direct link kati ya kujichua na memory loss but i think Ni role ya neural transmitters zinazokua released probably endorphins au serotonin au dopamine
 
Back
Top Bottom