mshamu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 418
- 133
Wataalam mje kutoa msaada hapa.
Simu yangu Samsung S6 Edge imegoma kudisplay yaani ipo on lakini kioo kinaonyesha giza. ukipiga inaita kama kawaida tatizo ni nini na suluhisho ni lipi?
Nimejaribu kugoogle na kujaribu njia zote sijafanikiwa.
Naomba mawazo yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu yangu Samsung S6 Edge imegoma kudisplay yaani ipo on lakini kioo kinaonyesha giza. ukipiga inaita kama kawaida tatizo ni nini na suluhisho ni lipi?
Nimejaribu kugoogle na kujaribu njia zote sijafanikiwa.
Naomba mawazo yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app