Msaada tafadhali - namna ya kuweka link

ndugu wanajamii

naomba kueleweshwa namna ya kuweka link kwa mfano utakuta mtu amekuandikia email, halafu anakueleza kuwa bofya HAPA, Ukibofya unapelekwa moja kwa moja kwenye eneo hilo, mashikoro mageni wajameni naomba mnijuze

CLICK HERE
 
Mwali bonyeza HAPA
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…