Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 25,916
- 67,960
Natanguliza shukran
izo mbona nampa, naona kashaifanya hii kuwa kama desturi yake me nataka niikomeshe iisheMpe hela uone atakavyolainika na kulowana kwaajili yako
Sijui ata njibu nn kwa hii komentnyumbani kuna mtu anagegeda taraaatibu tena itakuwa shambaboy wao
Hapo unajikomesha mwenyeweizo mbona nampa, naona kashaifanya hii kuwa kama desturi yake me nataka niikomeshe iishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani lazma hiyo kitu mm mnaniudhi wanaumeHabari za wakati huu wakuu ,moja kwa moja niende kwenye jambo linalontatiza, nna mpenz wangu mwanachuo kila ikikaribia likizo arudi kwao ataki tufanye mapenz kwa sababu ambazo binafsi sidhani kama huwa ipo ivo . Ananiambia hawezi/hataki kwa sababu akifanya mapenzi siku mbili kabla ya kwenda kwao akifika mama yake atajua kilichofanyika .Sijui kama kuna ukweli juu ya hili wakuu au ndio napigwa chenga ya mwili.?? Nifanyaje kuibadilisha hii hali nmeshajaribu kumuelewesha bado hanielewi..nifanyaje wakuu???
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani lazma hiyo kitu mm mnaniudhi wanaume
Yapo mengne ya kufanya ww umeona hilo tu, hilo mpaka umuoeSasa tupo kwenye mahusiano ya kimapenz ili iweje ?? Au wataka tutizamane tu
Sawa mkuu Asante kwa ushauri wakoHapo unajikomesha mwenyewe
Kidudu kikikusimama we mpe hela analainika analowana unamfyatua unaendelea na mambo yako
Sio dunia ya leo vp we unangoja uolewe/ulingoja ad ulipoolewa???
Maisha lazima yaendeleeKaka zingatia bandiko lako la mwezi wa tisa mwaka jana kabla sijakushauri chochote..
KAKA ZANGU Mwanamke pekee unaeweza mmiliki ni binti/mwanao wa kike tu
DADA ZANGUMwanaume pekee unaeweza kummiliki ni your SON tu.....
ZINGATIA ILO WENGINEO NI KAZI YA ZIADA TU
Sent using Jamii Forums mobile app