Msaada tafadhali mpenzi wangu simuelewi

Msaada tafadhali mpenzi wangu simuelewi

Yaan wanaudhi kweli utadhan mahusiano ni lazima kufanya mapenzi kila saa saa na wanawake pia waache kutumika ovyo ovyo inabid ifike mahali wakaze sio kuliwa ovyo ovyo waiii
Igizeni kwenye komenti tuu ila mtaani huko mnayaishi sana wakuu kama mlishalianzisha mtaacha yanin..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si umuoe tu shida zote za nn mkuu, hii ndio shida ya ku date na wasichana, wanawake hawana hizo tabia
Habari za wakati huu wakuu ,moja kwa moja niende kwenye jambo linalontatiza, nna mpenz wangu mwanachuo kila ikikaribia likizo arudi kwao ataki tufanye mapenz kwa sababu ambazo binafsi sidhani kama huwa ipo ivo . Ananiambia hawezi/hataki kwa sababu akifanya mapenzi siku mbili kabla ya kwenda kwao akifika mama yake atajua kilichofanyika .Sijui kama kuna ukweli juu ya hili wakuu au ndio napigwa chenga ya mwili.?? Nifanyaje kuibadilisha hii hali nmeshajaribu kumuelewesha bado hanielewi..nifanyaje wakuu???

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wakati huu wakuu ,moja kwa moja niende kwenye jambo linalontatiza, nina mpenzi wangu mwanachuo kila ikikaribia likizo arudi kwao ataki tufanye mapenzi kwa sababu ambazo binafsi sidhani kama huwa ipo ivo .

Ananiambia hawezi/hataki kwa sababu akifanya mapenzi siku mbili kabla ya kwenda kwao akifika mama yake atajua kilichofanyika .

Sijui kama kuna ukweli juu ya hili wakuu au ndio napigwa chenga ya mwili.?? Nifanyaje kuibadilisha hii hali nmeshajaribu kumuelewesha bado hanielewi..nifanyaje wakuu???

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu anamtunzia hataki kumlisha kiporo...concluded!
 
Kuna mtu anamtunzia hataki kumlisha kiporo...concluded!
Sio mama ni mwenzio ndo atajua kilichofanyika
Asante mkuu Ngoja nichanganye na zangu nifanye maamuz
Mkuu hapo una sindikiza tu huyo sio wako ana wake stop wasting time bro chase papers and not bitches. Where there is love there aint excuses bro its a matter of actions.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta Faida au hasara za kufanya Mapenz kabla hujafunga ndoa hasara ni nyingi hasa kwa Mwanamke ushauri mdogo tu vijana mjitaidi mpate Elimu za Mahusiano na Ndoa mtajua mengi sana

Hasara nyingi humkuta Mwanamke pale unakuwa umemtumia sana mpaka shepu au mwili unachoka matokeo yake kuna uwezekano Mkubwa asiolewe na akaharibu Maisha yake kwa sababu yako kumbe namsifu huyo Msichana akukazie na iwe mfano Kwa wakina Dada msipende kutumika afu Mwisho Wa Siku mnapigwa chini au mnapigana chini

Mjitaidi kuwa wavumilivu ila inataka Moyo sana mfanye Mapenz kipindi cha ndoa na nasisitiza Mabinti tunzeni sehemu zenu kwa manufaa ya Ndoa zenu isije wakosti
Wadada Muwakazie tu,kama anakupenda utamjua tu na sio kukutumia,pia muepuke wapo wengi wanakupenda sio mtu anakuchezea sehemu zako Alafu hakuoi kuna Faida gani sasa

Vijana mnakosea sana ndondo Sana hamuangalii madhara baadae tamaa za uasherati tu hamna jipya ndo mnaisi ni mapenz ya kweli? Sio Kweli wengi wanachezeana tu msiweke ndondo mbele wekeni Upendo na Ukweli mbele hayo ndo Mapenz ya kweli
 
Tafuta Faida au hasara za kufanya Mapenz kabla hujafunga ndoa hasara ni nyingi hasa kwa Mwanamke ushauri mdogo tu vijana mjitaidi mpate Elimu za Mahusiano na Ndoa mtajua mengi sana

Hasara nyingi humkuta Mwanamke pale unakuwa umemtumia sana mpaka shepu au mwili unachoka matokeo yake kuna uwezekano Mkubwa asiolewe na akaharibu Maisha yake kwa sababu yako kumbe namsifu huyo Msichana akukazie na iwe mfano Kwa wakina Dada msipende kutumika afu Mwisho Wa Siku mnapigwa chini au mnapigana chini

Mjitaidi kuwa wavumilivu ila inataka Moyo sana mfanye Mapenz kipindi cha ndoa na nasisitiza Mabinti tunzeni sehemu zenu kwa manufaa ya Ndoa zenu isije wakosti
Wadada Muwakazie tu,kama anakupenda utamjua tu na sio kukutumia,pia muepuke wapo wengi wanakupenda sio mtu anakuchezea sehemu zako Alafu hakuoi kuna Faida gani sasa

Vijana mnakosea sana ndondo Sana hamuangalii madhara baadae tamaa za uasherati tu hamna jipya ndo mnaisi ni mapenz ya kweli? Sio Kweli wengi wanachezeana tu msiweke ndondo mbele wekeni Upendo na Ukweli mbele hayo ndo Mapenz ya kweli
Ushauri mzuri sana mkuu Ahsante mi siendekezi sana ndondo ila nlitaka kujua ukweli juu ya hili maana kama kuanza tulishaanza na huwa n mtiifu na msikivu kwa mwenzangu ndio maana nkaja kwenu nipate na mashauri ya busara zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa wewe humuelewi na ndiye mhusika moja kwa moja, sisi tusiohusika tutamuelewaje?
 
Ni kweli ila kwa ngazi ya chuo huyo ni MTU mzima.

Binafisi mama yangu alikuwa mkali balaa alinambia Siku nikifanya mapenzi kabla sijamaliza shule hatokuwa na huruma.

Alihakikisha kila tukifunga shule anamuita ness kuja kutukagua.

Niliogopa mwanaume kama ukoma, sijui eti unatumiwa kibarua unakisoma unakificha? Mm nilikuwa nawasilisha kwa mama sasa wewe uloandika kazi kwako.😁
Nilivyomaliza f6 hakuwa na mkwala huo tena, alijua nishakuwa MTU mzima nikiwaza nacheka😂

Kipindi hicho chote sikuwahigi kuona hata sura ya dushe😁 labda kule kijijini kwetu kulikuwa na tuzee tukiwa tunatoka kulewa vimelewa mbaya villikuwa vinapita vinaimba ndio vilikuwa vinapenda kukojoa kandokando ya barabara,
Basi ukiwa umetumwa sehemu ndio utakichungulia wakati kiko busy na kuimba😂😂😂😂😂😂

Zamani Raha.
 
Back
Top Bottom