Msaada tafadhali, kuna anaemjua huyu dada ? Very urgent

Msaada tafadhali, kuna anaemjua huyu dada ? Very urgent

Watuwa whtasup wapo humu??
 
wakuu unapoweka whatsapp inamaana umeweka application ambayo utahitaji password kuingia, kipindi inaibiwa inamaana alikuwa online hivyo hata kama ukweka line nyingine bado details na mambo yote yatakuwepo kama kawaida......whatsapp inachohitaji ni network tu aidha uwe umebadilisha user name or pasword au umelog out hapo atashindwa kutumia...na mshauri ajiunge goolge anttheft ingesaidia kupata details nyingi na za kufaa kumkamata....waone IT watakusaidia
 
Elisha MKUU possible
Nikusaidie kunadada wa prec aliibiwa simu january krkoo,,simu aliyonayo akiingizalineyake anaona anaeitumia akishtuka wanabadili namba...siku yasiku akaja kuinunua bosimkubwa tu wa kampuni moja airport...kutakakukujuza hili huyu dada kablayakumvaa boss aliniomba ushauri....mbayazaidi alikuwa anauwezowakuingia mpaka kwenye picha zayule boss akiwa na simu nyingine...tikaona makubwa namengine ayasemeki tukamuingia alipokataa tukaomba polisi...kilichofanyika aliingiza paswword yaile simu ilioibiwa kwenye simuyake na kuanzakuwaonyesha polisi hii sio pichazako...mzee aliomba waingie watatu vyumbani qkaombayaishe

Kumbe ndio we we.....nimecheka sanaaa...
 
Huyunapata nambayake nangia name style ya kumtongoza akigusa nyaya kazzaa na central
 
wakuu unapoweka whatsapp inamaana umeweka application ambayo utahitaji password kuingia, kipindi inaibiwa inamaana alikuwa online hivyo hata kama ukweka line nyingine bado details na mambo yote yatakuwepo kama kawaida......whatsapp inachohitaji ni network tu aidha uwe umebadilisha user name or pasword au umelog out hapo atashindwa kutumia...na mshauri ajiunge goolge anttheft ingesaidia kupata details nyingi na za kufaa kumkamata....waone IT watakusaidia

Whats app ina ku log out mkuuu??:what::what::what:
 
Back
Top Bottom