Escobar
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 574
- 440
Jina lako zuri lakini mawazo ya kitumwa. Uvae kihindi au kiaarabu kwenye harusi yako ili iweje? Kwanini usitangaze utamadani wako wa kitanzania? Ulishaona mhindi amevaa shuka la kimasai hata kama akiwa dukani kwake achilia mbali kwenye harusi yake?