Msaada tafadhali: Huwa inanitokeaa napata choo yenye damu

tonylast

Member
Jun 26, 2019
70
46
Habarini wana jukwaa hapa JF doctors
Kwanza napenda kutoa salaam za pole kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa letuu..

Niende moja kwa moja kwenye mada husika ,
Labda naweza kupata msaada kutoka kwa
Madaktar hapa JF ,

Huwa inanitokeaa napata choo yenye damu mara kadhaa wa kadhaa. Wakati mwingine inakua ni choo imechanikana n'a particle za damu au wakati mwingine inatoka fresh blood ikiwa imejitenga n'a choo .

Issue nyingine ya nyongeza napenda kuuliza hivi kukojoa mkojo unanuka kama sperm ni sawa au naweza kuwa n'a matatizo kiafya...

Msaada tafadhali kwa wenye utambuzi au uzoefu na haya mambo ,tupia maoni yako..
 
 
Habarini wana jukwaa hapa JF doctors
Kwanza napenda kutoa salaam za pole kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa letuu..

Niende moja kw moja kwenye mada husika ,
Labda naweza kupata msaada kutoka kwa
Madaktar hapa JF ,

Hua inanitokeaa napata choo yenye damu mara kadhaa wa kadhaa . Wakat mwingine inakua ni choo imechanikana n'a particle za damu au wakatii mwingine inatoka freshi blood ikiwa imejitenga n'a choo .

Isue nyingine ya nyongeza napenda kuulza hiv kukojoa mkojo unanuka kama sperm ni sawa au naweza kua n'a matatizo kiafya...

Msaada tafadhali kwa wenye utambuzi au uzoefu na haya mambo ,tupia maoni yako..
Mkuu kimbilia haraka Hospitali ukapimwe inaonyeshau anayo maradhi ya Bawasiri na unapata choo kigumu ndio maana ukienda choo unajibinya na kupata damu kwanza itoke kisha ndio unapata choo. Hiyo itakuwa ni dalili ya maradhi ya bawasiri kwa lugha ya kitaalam yanaitwa maradhi ya Hemorrhoid.
Kapime Hospitali kishe ulete mrejesho wako hapo. Dawa za asili zakutibu maradhi yako zipo.
ds00096_im01772_r7_hemorrhoidsthu_jpg.jpg
 
Habarini wana jukwaa hapa JF doctors
Kwanza napenda kutoa salaam za pole kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa letuu..

Niende moja kwa moja kwenye mada husika ,
Labda naweza kupata msaada kutoka kwa
Madaktar hapa JF ,

Huwa inanitokeaa napata choo yenye damu mara kadhaa wa kadhaa. Wakati mwingine inakua ni choo imechanikana n'a particle za damu au wakati mwingine inatoka fresh blood ikiwa imejitenga n'a choo .

Issue nyingine ya nyongeza napenda kuuliza hivi kukojoa mkojo unanuka kama sperm ni sawa au naweza kuwa n'a matatizo kiafya...

Msaada tafadhali kwa wenye utambuzi au uzoefu na haya mambo ,tupia maoni yako..

Kutoa damu inayoonekana kwenye choo kwa mda mrefu ina sababu nyingi!

0. Duodenal Ulcers( Vidonda vya utumbo)
1. Ulcerative Colitis(Huwa ina episodes za kuharisha choo chenye damu pamoja na tumbo kuuma, utulia na kujirudia)
2. Hemorrhoids(Bawasili)
3. Anal Fissure(Hii umbatana na maumivu makali wakati wa kujisaidia)
4. Colorectal Cancer
5. Diverticulitis
6. Arteriovenous Malfomations

Sababu nyingine ambazo sio za kudumu mda mrefu ni pamoja na infections za Amoeba na Shigella

Its very unlikely ukapata msaada kwnye mitandao bila kwenda hospitali Mkuu, conditions hizo zote lazima tujue ni ipi inakusumbua na kuna nyingine itaitaji ufanyiwe Colonoscopy--endoscopy inayopita kwenye sehemu ya aja kubwa.
 
Mimi siyo daktari ila kwa nilichoshuhudia hiyo ni ulcers.

Nenda hospitali ulcers inaua tena inakukondesha hadi watu wa pembeni watasema una ngoma.
 
Habarini wana jukwaa hapa JF doctors
Kwanza napenda kutoa salaam za pole kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa letuu..

Niende moja kwa moja kwenye mada husika ,
Labda naweza kupata msaada kutoka kwa
Madaktar hapa JF ,

Huwa inanitokeaa napata choo yenye damu mara kadhaa wa kadhaa. Wakati mwingine inakua ni choo imechanikana n'a particle za damu au wakati mwingine inatoka fresh blood ikiwa imejitenga n'a choo .

Issue nyingine ya nyongeza napenda kuuliza hivi kukojoa mkojo unanuka kama sperm ni sawa au naweza kuwa n'a matatizo kiafya...

Msaada tafadhali kwa wenye utambuzi au uzoefu na haya mambo ,tupia maoni yako..
Mtoa mada pole kwa unayopitia.
Nakusihi uzingatie ujumbe wa mchangia mada namba sita (6).

Kwa ujumla hii inaitwa lower gastrointestinal bleeding. Na sababu zake ni nyingi kama zilivyoainishwa hapo. Ni pale utafika hospitali na kufanya vipimo ndio utajua ni kipi kati ya vilivyotajwa ndio shida halisi. Kama utaweza kumpata daktari bingwa wa magonjwa ya njia ya chakula/ gastroenterologist ni vyema zaidi au daktari wa upasuaji.
 
Mtoa mada pole kwa unayopitia.
Nakusihi uzingatie ujumbe wa mchangia mada namba sita (6).

Kwa ujumla hii inaitwa lower gastrointestinal bleeding. Na sababu zake ni nyingi kama zilivyoainishwa hapo. Ni pale utafika hospitali na kufanya vipimo ndio utajua ni kipi kati ya vilivyotajwa ndio shida halisi. Kama utaweza kumpata daktari bingwa wa magonjwa ya njia ya chakula/ gastroenterologist ni vyema zaidi au daktari wa upasuaji.
Ninashukuru ndgu , zangu .
 
nilishapata anal fissure yaani nikijisaidia kunakuwa na fresh blood kbs..
kuna tube nilipewa sikumbuki jina ilinisaidia sana..ila ndo unakibonyezea hapo nyuma mara 2 kwa siku..ilikuwa naogopa hata kwenda chooni nikapunguza na misosi nilikonda sana.
ila baada ya kutumia hiyo tube mambo yakarud sawa hadi leo
 
Back
Top Bottom