Msaada:TAA YA ENGINE KTK DASHBOARD IMEWAKA!

Msaada:TAA YA ENGINE KTK DASHBOARD IMEWAKA!

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,511
Reaction score
11,911
wakuu naomba msaada taa hiyo ina maanisha ubovu gani ktk injini?gari ndogo ya petrol.nipo njiani msaada please
 
Mkuu yawezekana ingine oil imepungua. je ulicheck kabla ya safari? Kama sivyo check, kama ipo sawa then hapo laweza kuwa tatizo la kiufundi zaidi.
 
oil nimeweka,bado inawaka!taa ya alama ya injini kwenye dashboard mtaalamu
 
Toka lini Great thinkers wakawa mafundi wa mitambo?
refer to distinction made by PLATO!
 
oil nimeweka,bado inawaka!taa ya alama ya injini kwenye dashboard mtaalamu
Hiyo ni alert ya CHECK ENGINE.
Kuna shida ndogo kwenye engine, aidha loose connection or so!
Hicho kitaa ni kisumbufu sana. Unawezagusa mahala tu ikazima.
Kama uko sehemu mbaya wawezaendesha tu hadi sehemu salama then umtafute fundi.
 
Hiyo ni alert ya CHECK ENGINE.
Kuna shida ndogo kwenye engine, aidha loose connection or so!
Hicho kitaa ni kisumbufu sana. Unawezagusa mahala tu ikazima.
Kama uko sehemu mbaya wawezaendesha tu hadi sehemu salama then umtafute fundi.

hasa noah ndo zinasumbua sana. mia
 
Kuweza kujua tatizo unapaswa kupeleka gari waifanyie diagnosis checkup. Mm gari yangu nilipeleka nikakuta ni air-fuel ration sensor (L/B) inashida. Nashauri ipeleke kwa wataalam upate ufumbuzi wa uhakika
 
Endesha gari ufike nyumbani salama ndugu usije ukabakishwa na chupi tu! Asubuhi kapeleke service
 
wakuu naomba msaada taa hiyo ina maanisha ubovu gani ktk injini?gari ndogo ya petrol.nipo njiani msaada please
Msaada wa haraka haraka, angalia kizibo cha tanki la mafuta kama kimefungwa vizuri. Ili kujua chanzo cha taa kuwaka, ni vyema kupeleka gari kwa fundi ambaye ana "ODB Reader"

 
Inaeza kuwa ni loose connection kwenye betri mkuu!jaribu kuangalia pia kama betri terminal zipo sawa
 
Fundi umeme (wire) atakuwa msaada mkubwa kwako...ndo shida ya haya magri yanayotumia umeme.....ukipiga starter inawaka?
 
A malfunction indicator lamp (MIL), also known as a check engine light, is a tell-tale to indicate malfunction of a computerized engine management system. It is found on the instrument panel of most automobiles. When illuminated, it is typically either an amber or red color. On vehicles equipped with OBD-II, the light has two stages: steady (indicating a minor fault such as a loose gas cap or failing oxygen sensor) and flashing (indicating a severe fault, that could potentially damage the catalytic converter if left uncorrected for an extended period). When the MIL is lit, the engine control unit stores a fault code related to the malfunction, which can be retrieved with a scan tool and used for further diagnosis. The malfunction indicator lamp usually bears the legend check engine,service engine soon, or a pictogram of an engine. In the United States, specific functions are required of the MIL by EPA regulations.[SUP][1][/SUP]
The MIL appeared in the early 80s along with computerized engine controls. Even the earliest systems, such as GM's CCC (Computer Command Control) system had self diagnosis functionality. When the computer detected a fault, it illuminated the MIL. Up until OBDII, on most cars the MIL could output codes, when two pins on the ALDL are jumped, the light would flash the codes, for instance (blink) (pause) (blink) (blink) for code 12. Some manufacturers, such as Honda, retained this feature even after OBDII.

Source: wikipedia
 
sijapata jibu la uhakika naona tunabahatisha!wikipedia imenipa mwanga kidogo
 
mkuu ondoa shaka tililika vizuri na elezea viyuri nikwambie nin?? cha kufanya. je hiyo taa imewaka gafla au ilianza kwa kuflash?? kuwaka na kuzima?? kama inawaka moja kwa moja basi kuna tatizo limejitokeza?? kuna mambo mengi kidogo yanayoweza kusababisha taa hiyo kuwaka?? usiwe na hofu kwani kibongobongo kuna magari mengi tuu yanatembea yanawaka taa hiyo hata zaidi ya miaka 10 na mtumiaji bila kujua kinacho endelea au kilicho endele baini ya fundi na gari yake?? mafundi wengi huwa wana zi lupu na taa ya oil,betri au hata abs. mkuu kabla ya kupewa tiba fumguka vizuri kimaelezo ili usaidiwe siunajua tena sikukuu hiyooo peleka kwa fundi ukaliwe bana?? umpelekee hera ya sikukuuu. taja gari yako nia aina gani?? na ina engine gani?? fanya hivi ukifika tuu home chomoa terminal ya betri 1ja wapo ya negative iache hivyo hivyo mpaka asubuhi lengo ni kufuta kumbukumbu kwenye ecu,control box. na ikifika asubuhi ichomeke terminal na kuwasha gari harafu angalia kama itawaka au laa kama itawaka basi ujue kuna tatizo linaweza kuwa kubwa au laa inategemeana na aina ya gari kuna gari nyingine hata air clener ikiwa chafu taa ya check engine inawaka sababu kwenye air clener kuna sensor inayoitwa air flow au air mass imefungwa. so kwa ishu kama hizo ukimpelekea fundi lazima ukunyooshe kisha anaichukua air clener anakwenda kuisafisha kwa 500 tu na malaki kazaa anatia mfukon??
 
Back
Top Bottom