Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikucheki Inbox, sijui kama umeona?Habari. Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba msaada wa unlock code kwani nimechoshwa na kuunga bando ktk lain ya tigo maana ni gharama sana!
Naambatanisha na emai ya simu.
Network: TIGO
Model: FP789L-T
IMEI:
Natanguliza shukrani.
chunga rinda, acha mtelezoNaomba kwa free
Mkuu hii program ina kazi gani?Habari. Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba msaada wa unlock code kwani nimechoshwa na kuunga bando ktk lain ya tigo maana ni gharama sana!
Naambatanisha na emai ya simu.
Network: TIGO
Model: FP789L-T
IMEI:
Natanguliza shukrani.
Software zinatolewa free na programer ulishawahi waambia wachunge rinda?, kama huwezi nisaidia ungekaa kimya tu.
Tafuta 5000 mzee unapata code chap chap.Software zinatolewa free na programer ulishawahi waambia wachunge rinda?, kama huwezi nisaidia ungekaa kimya tu.
acha kutangaza njaa wewe, to 5k iyoHuwezi jiongeza?
anyway natumia kitoch 4g ambacho huwezi RUN .EXE wala .APK