Msaada swali la hisabati

Msaada swali la hisabati

The Boldly

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,377
Reaction score
5,150
Alpha alikula 1/4 ya mchele wake, kisha aliuza 1/3 ya mchele uliobaki.ikiwa alibakiwa na kg 60.Tafuta kg alizokuwa nazo.

Cc Mwifwa
 
Najaribu hapa kusolve napata alikuwa hana mchele😂😂😂
😂😂😂😂😂
We kweli madenge.Anyway ushawahi kufanya swali ukicheki raia majibu yanaendana ila wewe ndo kwanza jibu lako hata robo halifanani hadi unaanza kuhakikisha kama swali ulofanya ndo lenyewe
 
Haters watasema sina kazi...i know

20200207_144104.jpg
 
Nataka chato😅

No.. you could be right Ila approach uliyotumia kwenye case 'ya kilichobaki'

1/3 of 60 😥

Hahahah

Nimetumia njia rahisi inayoeleweka sanaa...mchele ulikuwa 120 kilos

Akala robo ya mchele(1/4) ambayo inakuwa robo times kilos zote ambayo inakuwa 30
Akauza theluthi(1/3) ya kilichobaki(kupata kilichobaki unachukua kilos zote (120) unatoa alizokula (30) unapata 90(kilochobaki) times 1/3 unapata 30
Kwenye swali anasema kilichobaki ni 60 kilos so inabalance kabisa

Alichokula(30)+Alichouza(30)+Kilichobaki(60)=120 kilos
 
Hahahah

Nimetumia njia rahisi inayoeleweka sanaa...mchele ulikuwa 120 kilos

Akala robo ya mchele(1/4) ambayo inakuwa robo times kilos zote ambayo inakuwa 30
Akauza theluthi(1/3) ya kilichobaki(kupata kilichobaki unachukua kilos zote (120) unatoa alizokula (30) unapata 90(kilochobaki) times 1/3 unapata 30
Kwenye swali anasema kilichobaki ni 60 kilos so inabalance kabisa

Alichokula(30)+Alichouza(30)+Kilichobaki(60)=120 kilos
Qualitatively 👏😅
 
Alpha alikula 1/4 ya mchele wake, kisha aliuza 1/3 ya mchele uliobaki.ikiwa alibakiwa na kg 60.Tafuta kg alizokuwa nazo.

Cc Mwifwa

Njia.
Fikiria Y iwe ni jumla ya Kg za mchele alizo kuwa nazo Alpha

Mchele alio kula=1/4 ya Y=1/4xY=1/4Y

Mchele alio uza=1/3 ya mchele uliobaki
Lakini Mchele uliobaki baada ya kula=Jumla ya mchele-Mchele alio kula =Y-1/4Y=3/4Y
Kwa hiyo,
Mchele alio uza=1/3 ya 3/4Y =1/3x3/4Y
Mchele aliouza= (1x3)/(3x4)Y=3/12Y=1/4Y

Jumla ya mchele wote=Mchele alio kula+Mchele alio uza + Mchele alio baki nao
Y=1/4Y+1/4Y+60
Zidisha na 4 kila upande
4Y=Y+Y+240
4Y=2Y+240
4Y-2Y=240
2Y=240
Y=120

Kwa hiyo Alpha alikua na Kg 120 za mchele
 
Njia.
Fikiria Y iwe ni jumla ya Kg za mchele alizo kuwa nazo Alpha

Mchele alio kula=1/4 ya Y=1/4xY=1/4Y

Mchele alio uza=1/3 ya mchele uliobaki
Lakini Mchele uliobaki baada ya kula=Jumla ya mchele-Mchele alio kula =Y-1/4Y=3/4Y
Kwa hiyo,
Mchele alio uza=1/3 ya 3/4Y =1/3x3/4Y
Mchele aliouza= (1x3)/(3x4)Y=3/12Y=1/4Y

Jumla ya mchele wote=Mchele alio kula+Mchele alio uza + Mchele alio baki nao
Y=1/4Y+1/4Y+60
Zidisha na 4 kila upande
4Y=Y+Y+240
4Y=2Y+240
4Y-2Y=240
2Y=240
Y=120

Kwa hiyo Alpha alikua na Kg 120 za mchele
Kufundisha ni kipaji changu,
 
Back
Top Bottom