feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 8,519
- 17,177
Habari ya wakati huu wakuu.
Samahani naomba msaada anayefahamu zinapouzwa submeter kampuni hii Ya MT electrical nina shida na namba za wauzaji au operator hapa ninapo kaa nimeikuta hii meter na kwa bahati mbaya mwenye nyumba hajui fundi alinunua wapi na hana contact zake sasa sijui hata umeme naununuaje na mpangaji wa mwanzo amehama na hakuna contact zake.
Hata kama unatumia hii kampuni unaweza ukanisaidia application ya kununulia umeme natanguliza shukrani.
Naambatanisha na picha
Samahani naomba msaada anayefahamu zinapouzwa submeter kampuni hii Ya MT electrical nina shida na namba za wauzaji au operator hapa ninapo kaa nimeikuta hii meter na kwa bahati mbaya mwenye nyumba hajui fundi alinunua wapi na hana contact zake sasa sijui hata umeme naununuaje na mpangaji wa mwanzo amehama na hakuna contact zake.
Hata kama unatumia hii kampuni unaweza ukanisaidia application ya kununulia umeme natanguliza shukrani.
Naambatanisha na picha