si ndio mana nilimwonea huruma shosti yangu
King'asti muke ya mukubwa!
i see mi ni mwalimu wa kiswahili ila
Kiranga nakaa kando kusema ukweli!jamaa anaijua lugha yake!yaani hakuna kitu kingine mi huwa naangalia kwenye post zake zaidi ya vile anavyotumia misamiati adimu kabisa kutumia kwenye mazungumzo ya kawaida!natamani sana niufikie huo ujuzi!