msaada sitaki kufa na tai shingoni!




Naomba niwe rafiki yako maana kuna vitu najifunza katika kila post yako...........
 
hii stori nzuri, sijui mwisho wake ulikuwaje, ulikufa na tai au ulifanikiwa?
 
asee wewe ni noma kwa kutongoza
 
Yaani hata kutunga stori ya papo kwa hapo kumuingiza mtu kwenye "laini" umeshindwa khaaa!!

#jiamini
 
Ni kweli umempenda au unataka wa kukusaidia matunzo ya huyo mtoto huko ughaibuni?.

Nimeuliza tu lakini.
 


Umri wako tafadhali ili usaidiwe. Lkn nahisi hicho kilichokupata ni infatuation!
 
Kuwa bold, as u enter the bus au wakati unashuka omba namba yake, if he is interested atakupa yake. Then see how it goes maana unaweza ukawa na butterflies for nothing kumbe is a major disappointment au akawa a great guy gorgeousmimi
 
Last edited by a moderator:
Upo kenya c ndiyo?Mwoneshe titi atapagawa!
 
andika namba mpe akutafute-simple-na zungumza nae kiswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…