msaada sitaki kufa na tai shingoni!

Morning glory inahusika. Na hivi leo hakuna kazi. Hii long weekend lile agizo la kuijaza sunia linahusika nadhani. [/QUOTE BAK hiz nyimbo hiz sa hz asbh asbh unantakia mema kkweli mimi!
ah!nakasirikaga mimi!majimbo yanavutika sana haya!ah
[/QUOTE]

ahahahahahhaah mwenza we achaga tu!
usinikumbushe banaaaaaaaaaaaaa ah!unakumbuka siku ile ulivyotoka kumnunulia Paw mbudhi wa thupu kwa besidei yake tulivokutana alfajiri mi nikiwa natoka chimbo na we ukiwa unatoka vingunguti(kudadadeki na we ukaona pa kuninganyiaaa kooote vingunguti!)basi ndo niko huko huko!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Paw
Kiranga anaendesha basi? Kiwanja?

Labda la kwenda Chanika.
 
 
Mmmh!unaendekeza njaa tu.Na baba mtoto anajua?
 

Unatakiwa kufanya ni ku smile kwa sana ukimuona
na akikusemesha mjibu kwa tabasamu
baasi....kazi imekwisha
na uwe unapanda hilo basi mara kwa mara
 
Mwmbie ukweli mana utakuwa umeonyesha uko serious kwake


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Sasa wewe unaongelea cha malikia umeshawahi kumfumania Kiranga akiongea kiswahili fasaha..??
si ndio mana nilimwonea huruma shosti yangu King'asti muke ya mukubwa!
i see mi ni mwalimu wa kiswahili ila Kiranga nakaa kando kusema ukweli!jamaa anaijua lugha yake!yaani hakuna kitu kingine mi huwa naangalia kwenye post zake zaidi ya vile anavyotumia misamiati adimu kabisa kutumia kwenye mazungumzo ya kawaida!natamani sana niufikie huo ujuzi!
 
Last edited by a moderator:
Kamatia Teja banaaa!!! Kwanini uteseke na Teja yupo pembeni!? lol!
:fencing::fencing::fencing:



ahahahahhahahhahah haya bana mi leo chichemi!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
lol! Umekuwa Bubu leo eeh!?:tape2::tape2: :tape2: Haya banaaa...Mie niko bomba sana πŸ™‚πŸ™‚...Natumai nawe umzima wa afya ukiondoa..:tape2::tape2::tape2 :



 
Last edited by a moderator:
lol! Umekuwa Bubu leo eeh!?:tape2::tape2: :tape2: Haya banaaa...Mie niko bomba sana πŸ™‚πŸ™‚...Natumai nawe umzima wa afya ukiondoa..:tape2::tape2::tape2 :


una hamu ya kulia BAK we ngoja!
cc @fP
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha lol!
:yo::yo::yo:



hauna wimbo wowote wa homesick huko kwenye kabrasha lako!sijasema wa missing au nini nimesema wa homesick!basi hata ule wa nameless wa narudi nyumbani!
 
Reactions: BAK
Last edited by a moderator:
Najua unamiss tabasamu la Teja, pole sana safari njema kuelekea maskani πŸ™‚πŸ™‚..huo wimbo mwingine fundi mitambo bado wanausaka lol!!!

see!
alosto mchezo!

 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…