Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,138
- 22,507
Jamani simu yangu techno imebadilika maandishi ..yaani umekuwa mwandiko ule wakuremba ..me imenishinda naombeni msaada wataalamu humu
Sawa mkuu ngoja nijaribuNenda kwenye input settings mkuu
Daah nielekeze mkuu maandishi yamekuwa too much ..yaani sioni mkuuSawa mkuu ngoja nijaribu
Afu we jamaa me nipo serious ujue ??..Imeweka mwandiko wa kikee...Umekuona wewe james delicious
Tatizo manakalili...nahisi hizo ni tecno matoleo ya zamaniKwa Tekno hiyo kawaida sanaa hapo subiri ianze ku-stuck stuck na kujiwasha tochi mchana au kujiweka flight mode wakati ukizungumza na mtu ndo utajua Tecno siyo simu.
Mkuu nikireset si nafuta kila kitu mkuu??Reset
Loo kuna watu wanamanenoabovu we acha tuKwa Tekno hiyo kawaida sanaa hapo subiri ianze ku-stuck stuck na kujiwasha tochi mchana au kujiweka flight mode wakati ukizungumza na mtu ndo utajua Tecno siyo simu.
😂😂😂 kuna watu huwa mnamajibu yanasubiri maswali tu, sasa sijui uliwaza nin. Nimecheka sana usiku huuSoon itakua ndege ikipita juu angani, techno yako inajiwasha bluetooth then inaandika device detected.
Ndo maana Mr Nay anawaita mamakukuna watu huwa mnamajibu yanasubiri maswali tu, sasa sijui uliwaza nin. Nimecheka sana usiku huu
Hahah hilo ni tatizo sugu kwny techno mkuu,soon jamaa atakuja kuleta uzi hapa kuhusiana na tatizo hilo mkuu.kuna watu huwa mnamajibu yanasubiri maswali tu, sasa sijui uliwaza nin. Nimecheka sana usiku huu
ha ha ha ha ha ha ha ha ha atiiii James deliciousImeweka mwandiko wa kikee...Umekuona wewe james delicious
asante Sana mkuu nimechange ..Kama bado hujatatua tatizo lako, inaonekana kwenye simu za Tecno kuna app inaitwa Hi-Theme ambayo inaweza kubadilisha font ya simu, itakuwa kuna jinsi ulichagua font mojawapo au mtu alikuwa anachezea. Kubadilisha itabidi ufungue hyo app ubadilishe font nyingine.
Jaribu tutorial hii
Au hii ya kwanza na ya pili kutoka youtube