Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,432
- 7,092
Simu yangu Canon 15 Air..Tecno..
Nimeitumia miezi miwili..tatizo lake..
Ikifika saa sita kamili usiku inakaa flight mode yenyewe..
Sasa hivi siwezi kuongea na wala kutumia video call kwenye Whats'up...inakubali kutuma msg tu...inaleta ujumbe kwamba incoming na video call zimekuwa prevented na wi-fi ..na hata ukiweka on hiyo wi-fi tatizo haliondoki..
Imetizamwa kwenye programe ziko sawa ila tatizo lipo vile vile...
Nime download whats up upya lkn bado.
Nimeitumia miezi miwili..tatizo lake..
Ikifika saa sita kamili usiku inakaa flight mode yenyewe..
Sasa hivi siwezi kuongea na wala kutumia video call kwenye Whats'up...inakubali kutuma msg tu...inaleta ujumbe kwamba incoming na video call zimekuwa prevented na wi-fi ..na hata ukiweka on hiyo wi-fi tatizo haliondoki..
Imetizamwa kwenye programe ziko sawa ila tatizo lipo vile vile...
Nime download whats up upya lkn bado.