Yurri
Senior Member
- Apr 29, 2015
- 176
- 227
Salaamu... kama kichwa cha habari kinavyojitanabaisha, kwa wataalamu wa soft ware mnisaidie. Simu yangu nikiwasha data tu inajilistart, nimei format na kufanya restoration mara kadhaa lakini still tatizo lipo palepale.Naomba msaada wa mawazo tatizo nini na linatatuliwaje wakuu.