Msaada: Simu yangu aina ya SamSung GT-19220 (galaxy note), nikiwasha data inajilistart.

Yurri

Senior Member
Apr 29, 2015
176
227
Salaamu... kama kichwa cha habari kinavyojitanabaisha, kwa wataalamu wa soft ware mnisaidie. Simu yangu nikiwasha data tu inajilistart, nimei format na kufanya restoration mara kadhaa lakini still tatizo lipo palepale.Naomba msaada wa mawazo tatizo nini na linatatuliwaje wakuu.
 
Back
Top Bottom