Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 886
- 1,011
Kwema Wanandugu,
Kuna ndugu yangu ana simu yake Samsung toka jana asubuhi inawaka na kuzima tu. Yaani akiwasha inakaa sekunde kama 5 hivi inazima, na kujiwasha tena, kisha after 5sec itajizima tena. Hivyo hivyo mpaka inaisha chaja. Ni simu ambayo huwezi kutoa betri.
Simu hii anasema ina vitu vyake vingi sana vya muhimu ambavyo hataki vipotee kama ataiflash, hivyo anauliza kama kuna njia ingine ya kuitengeneza lakini ikaendelea kua na vitu vyake. Ukiiwasha unaweza kukaa nayo ukafanya chochote lakini after 5sec itazima.
Msaada wataalamu
Kuna ndugu yangu ana simu yake Samsung toka jana asubuhi inawaka na kuzima tu. Yaani akiwasha inakaa sekunde kama 5 hivi inazima, na kujiwasha tena, kisha after 5sec itajizima tena. Hivyo hivyo mpaka inaisha chaja. Ni simu ambayo huwezi kutoa betri.
Simu hii anasema ina vitu vyake vingi sana vya muhimu ambavyo hataki vipotee kama ataiflash, hivyo anauliza kama kuna njia ingine ya kuitengeneza lakini ikaendelea kua na vitu vyake. Ukiiwasha unaweza kukaa nayo ukafanya chochote lakini after 5sec itazima.
Msaada wataalamu