Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,128
- 1,842
Wadau habari,nilinunua simu (tecno-spark7) smartphone mpya K.koo,shida inaji_restart,Carlcare (mafundi maalum wa tecno phones) nimeenda bado hali ni ile ile.
Duka nililonunua wanasema wanaoweza kunipa/kunibadilishia simu mpya ni hao hao Carlcare baada ya kushndwa kufix problem kwani wao na tecno ndio wasambazaji wasimu nchini (japo siamini hili).
Msaada kwa yeyote ambaye alishawahi kukutana na scenario hii,alitumia mbinu gani kupata haki yake au kukarabati simu isijiwashe yenyewe.
Ahsanteni na karibuni kwa ushauri.
Duka nililonunua wanasema wanaoweza kunipa/kunibadilishia simu mpya ni hao hao Carlcare baada ya kushndwa kufix problem kwani wao na tecno ndio wasambazaji wasimu nchini (japo siamini hili).
Msaada kwa yeyote ambaye alishawahi kukutana na scenario hii,alitumia mbinu gani kupata haki yake au kukarabati simu isijiwashe yenyewe.
Ahsanteni na karibuni kwa ushauri.