Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 406
wakuu habari za sasa?
mimi ni kijana wa shahada ya kwanza, kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wangu, nilishindwa kutuma maombi ya kujiunga na JKT japo siko nje ya muda. tatizo la kwanza nimekosa academic transcripts kutoka chuoni kwangu, wananizungusha jamani. Naombeni ushauri wenu, nawezaje kutuma maombi bila academic transcripts ya chuo?
Karibuni
mimi ni kijana wa shahada ya kwanza, kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wangu, nilishindwa kutuma maombi ya kujiunga na JKT japo siko nje ya muda. tatizo la kwanza nimekosa academic transcripts kutoka chuoni kwangu, wananizungusha jamani. Naombeni ushauri wenu, nawezaje kutuma maombi bila academic transcripts ya chuo?
Karibuni