Ocenicbay
Senior Member
- Apr 9, 2017
- 103
- 121
Kwa yoyote anayejua, nimekutana na hii"DIPLOMA IN TEACHER EDUCATION WITH AN AVERAGE OF C GRADE"swali ni kwamba ili cheti kiwe na sifa hiyo inatakiwa uwe umepata alama zipi.
Mwenye uelewa wa hilo tafadhali anisaidie kunipa maelezo.
Ahsanteni na karibuni kwa michango
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye uelewa wa hilo tafadhali anisaidie kunipa maelezo.
Ahsanteni na karibuni kwa michango
Sent using Jamii Forums mobile app