middo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 207
- 56
Hii ndo notification niipatayo baada ya kutick unknown source.. CHIEF MKWAWA
Inatokea wakati unafanya nini? Na hiyo icon hapo juu kwenye notifications ni ya Application gani?
huwa kikawaida simu mpya zinazotumia android ya google huwezi kuinstall apps nje ya playstore. warning hio imekuja sababu umedownload apps ya android kwenye website nyengine.
kutoa hilo tatizo bonyeza setting kama ilivyotookea kwenye picha then tick unknown source itatokea message ya warning kubali then utakuwa umesolve kesi yako