Wakuu ninaomba mtu anayefahamu Shule ya Sekondari ya Bweni inayofundisha michezo pia iwe nzuri kwenye taaluma. Kijana wangu anamaliza Darasa la Saba na anapenda sana michezo na anacheza Mpira wa Miguu na Kikapu.
Shule iwe kati ya Dar, Morogoro, Pwani, Iringa, Mbeya na Tanga na ada isizidi 1,500,000.
Asanteni.
Shule iwe kati ya Dar, Morogoro, Pwani, Iringa, Mbeya na Tanga na ada isizidi 1,500,000.
Asanteni.