Msaada Serious

funzadume

JF-Expert Member
Jan 28, 2010
13,559
21,040
Wadau nataka kuifanya ndoa yangu iwe na furaha mno. Je wanawake wanapenda vitu gani nimfanyie my wife wangu ili awe na furaha muda wote na kuepusha migogoro kwenye ndoa naomba ushauri na mawazo na nitaufanyia kazi. Sema chochote ambacho una uhakika wanawake wanapenda kufanyiwa ili nami nikifanye please. Wanawake naomba mnisaidie serious nataka mabadiliko chanya
 
Wanawake wanapenda sana kupendwa, kudekezwa, kujaliwa na hawapendi kudanganywa. Mfano kama anafanya kazi basi kila mara umuulize vipi habari za kazi ikifika mchana umuulize umekula, kama hajala basi waweza mtumia lunch box, ikifika jioni kama unampitia mwambie 30minutes before umfuate hata kama anapanda daladala basi mwambie pole sana hii yote ni kumbembeleza tu. Ushauri wangu lakini
 
Muoneshe kuwa unamjali sana....
Mpe attention kila wakati anapotaka kuongea na wewe..
Mheshimu hasa mbele za watu.......
Jieupushe na maneno ya kuudhi.......
Mpe space yake pia.....usimgande kutwa......
Dharau maneno ya watu kuhusu mkeo,kama yapo.....
Mfanye awe best friend wako .
Jali ushauri wake....
Heshimu ndugu zake,na marafiki zake.....
Jitahidi pia kuwa na furaha mda mwingi ili apende kuwa na wewe....
Mtoe out sana,
mfanyie shpopping sana...
Unapomkosea jifunze kumuomba msamaha hata kwa vitendo,kama kwa maneno huwezi..
Zijue ndoto zake za maisha na umsaidie kuzifanikisha....
Na mwisho kumbuka life is about giving each other beautifell memories na sio maudhi......
 
Wanawake wanapenda sana kupendwa, kudekezwa, kujaliwa na hawapendi kudanganywa. Mfano kama anafanya kazi basi kila mara umuulize vipi habari za kazi ikifika mchana umuulize umekula, kama hajala basi waweza mtumia lunch box, ikifika jioni kama unampitia mwambie 30minutes before umfuate hata kama anapanda daladala basi mwambie pole sana hii yote ni kumbembeleza tu. Ushauri wangu lakini



Hii nimeipenda.
 
Muoneshe kuwa unamjali sana....
Mpe attention kila wakati anapotaka kuongea na wewe..
Mheshimu hasa mbele za watu.......
Jieupushe na maneno ya kuudhi.......
Mpe space yake pia.....usimgande kutwa......
Dharau maneno ya watu kuhusu mkeo,kama yapo.....
Mfanye awe best friend wako .
Jali ushauri wake....
Heshimu ndugu zake,na marafiki zake.....
Jitahidi pia kuwa na furaha mda mwingi ili apende kuwa na wewe....
Mtoe out sana,
mfanyie shpopping sana...
Unapomkosea jifunze kumuomba msamaha hata kwa vitendo,kama kwa maneno huwezi..
Zijue ndoto zake za maisha na umsaidie kuzifanikisha....
Na mwisho kumbuka life is about giving each other beautifell memories na sio maudhi......
Thanks The Boss i will take that piece of advice
 
Wanawake wanapenda sana kupendwa, kudekezwa, kujaliwa na hawapendi kudanganywa. Mfano kama anafanya kazi basi kila mara umuulize vipi habari za kazi ikifika mchana umuulize umekula, kama hajala basi waweza mtumia lunch box, ikifika jioni kama unampitia mwambie 30minutes before umfuate hata kama anapanda daladala basi mwambie pole sana hii yote ni kumbembeleza tu. Ushauri wangu lakini

Hapa unazungumzia ndoa yenye umri wa wiki mbili, siyo? Otherwise, bado sijakuelewa vizuri...hick hick hick!:confused2::confused2:
 
Hapa unazungumzia ndoa yenye umri wa wiki mbili, siyo? Otherwise, bado sijakuelewa vizuri...hick hick hick!:confused2::confused2:
sure imekaa kiuchumba zaidi naongelea ndoa yenye vyeti halali
 
sure imekaa kiuchumba zaidi naongelea ndoa yenye vyeti halali

Afadhali umelielewa hilo kamanda. Ushauri unaokufaa kiasi kwamba nimekosa cha kuongeza ni huu hapa. Isipokuwa hizo kwenye red hazina mashiko sana na wala si lazima uzifanye ukishafanya hayo mengine yooooote.

Muoneshe kuwa unamjali sana....
Mpe attention kila wakati anapotaka kuongea na wewe..
Mheshimu hasa mbele za watu.......
Jieupushe na maneno ya kuudhi.......
Mpe space yake pia.....usimgande kutwa......
Dharau maneno ya watu kuhusu mkeo,kama yapo.....
Mfanye awe best friend wako .
Jali ushauri wake....
Heshimu ndugu zake,na marafiki zake.....
Jitahidi pia kuwa na furaha mda mwingi ili apende kuwa na wewe....
Mtoe out sana,
mfanyie shpopping sana...

Unapomkosea jifunze kumuomba msamaha hata kwa vitendo,kama kwa maneno huwezi..
Zijue ndoto zake za maisha na umsaidie kuzifanikisha....
Na mwisho kumbuka life is about giving each other beautifell memories na sio maudhi......

Sasa funga sredi yako twende kwenye lile jukwaa la magriiti thinkaz tukamjadili mchumba mporwaji wa Dr. Slaa na nyumba ndogo lukuki za JK.....
:welcome::welcome::welcome:
 
Afadhali umelielewa hilo kamanda. Ushauri unaokufaa kiasi kwamba nimekosa cha kuongeza ni huu hapa. Isipokuwa hizo kwenye red hazina mashiko sana na wala si lazima uzifanye ukishafanya hayo mengine yooooote.



Sasa funga sredi yako twende kwenye lile jukwaa la magriiti thinkaz tukamjadili mchumba mporwaji wa Dr. Slaa na nyumba ndogo lukuki za JK.....
:welcome::welcome::welcome:
hapana hii thread niacha open nadhani kuna mengi zaidi ya kuongezwa hasa kutoka kwa kinamama wenyewe naombeni msaada wanawake mnapenda nn nimfanyie my wife wangu?
 
aliyoongea THE BOSS yametulia(nimeyakubali)!
kilio kikubwa cha kina mama ni UKOSEFU WA UAMINIFU WA KINA BABA!
ushauri wangu ni uwe muaminifu, hakikisha mkeo anaamini(100%)kuwa tunda unalokula ni la kwake tu +the boss advice=happy mariage.
hata umfanyie nini lkn akihisi hauko muaminifu kwake HAWEZI KUWA MWENYE FURAHA!
 
Wadau nataka kuifanya ndoa yangu iwe na furaha mno. Je wanawake wanapenda vitu gani nimfanyie my wife wangu ili awe na furaha muda wote na kuepusha migogoro kwenye ndoa naomba ushauri na mawazo na nitaufanyia kazi. Sema chochote ambacho una uhakika wanawake wanapenda kufanyiwa ili nami nikifanye please. Wanawake naomba mnisaidie serious nataka mabadiliko chanya

Issue ya msingi hapo ni ''LOVE''nothing more!
 
Wanawake wanapenda sana kupendwa, kudekezwa, kujaliwa na hawapendi kudanganywa. Mfano kama anafanya kazi basi kila mara umuulize vipi habari za kazi ikifika mchana umuulize umekula, kama hajala basi waweza mtumia lunch box, ikifika jioni kama unampitia mwambie 30minutes before umfuate hata kama anapanda daladala basi mwambie pole sana hii yote ni kumbembeleza tu. Ushauri wangu lakini


Teh,teh,teh.....teh......teh,umeshashuhudia maisha ya ndoa ya wakurya wewe?????hapo kwenye RED, nina wasiwasi kidogo kwasababu kwa wakurya kama mwanaume humpigi hata kibao mke wako basi ina maana kuwa humpendi!N a mwanamke akiona hivyo anaweza hata kukushitaki akijua kuwa humpendi!
 
Muoneshe kuwa unamjali sana....
Mpe attention kila wakati anapotaka kuongea na wewe..
Mheshimu hasa mbele za watu.......
Jieupushe na maneno ya kuudhi.......
Mpe space yake pia.....usimgande kutwa......
Dharau maneno ya watu kuhusu mkeo,kama yapo.....
Mfanye awe best friend wako .
Jali ushauri wake....
Heshimu ndugu zake,na marafiki zake.....
Jitahidi pia kuwa na furaha mda mwingi ili apende kuwa na wewe....
Mtoe out sana,
mfanyie shpopping sana...
Unapomkosea jifunze kumuomba msamaha hata kwa vitendo,kama kwa maneno huwezi..
Zijue ndoto zake za maisha na umsaidie kuzifanikisha....
Na mwisho kumbuka life is about giving each other beautifell memories na sio maudhi......

hawatosheki.... amsome amfaham vema....aje kipi afanye lini na wapi!!:lol:
 
Fanya jitihada ujue likes na dislikes zake ndio uweze kumtimizia anayoyapenda....otherwise u might end up loosing points when you thought una gain...and when you loose kurecover yataka kazi LOL..talk.. talk.. and talk to her and listen! mshauri na umuheshimu!!
 
mfanyie vi suprise vidogo vidogo,kulingana na uwezo wako.Au hata muandikie message za mapenzi muekee chini ya mto,mpelekee viji lunch kazini mtume mtu maalum wa kumpelekea,akishakupata hiyo lunch,muulize kama ameipenda kwa lugha ya mapenzi.ukiamka tu asubuhi,neno la kwanza mwaimbie jinsi gani unavyompenda.ikifika week end,umwambie leo nataka kukutoa out,just me and you.na kama una uwezo wa kukodi limouzine,unakodi kwa ajili ya kumtoa out,[bongo yapo]na kama huo uwezo huna haina neno.mnunulie chupi nzuri {zawadi kama hiyo wanawake wengi tunaipenda}mwambie kwa lugha ya mapenzi aivae ili umuone.vilevile ikifika anniversary yenu,isipite hivihivi fanya suprise ndogo yoyote ile,kama uwezo unakuruhusu,siku hiyo safiri nae,kaa nae hoteli nzuri,ukweli ata enjoy sana tu,baada ya kufanya yote hayo,usisahau kutupa matokeo humu j.f,jamani wanaume muwe hivyo,sio lazima haya niliyoyasema lakini wapeni attention za kimahaba wake zenu.
 
mfanyie vi suprise vidogo vidogo,kulingana na uwezo wako.Au hata muandikie message za mapenzi muekee chini ya mto,mpelekee viji lunch kazini mtume mtu maalum wa kumpelekea,akishakupata hiyo lunch,muulize kama ameipenda kwa lugha ya mapenzi.ukiamka tu asubuhi,neno la kwanza mwaimbie jinsi gani unavyompenda.ikifika week end,umwambie leo nataka kukutoa out,just me and you.na kama una uwezo wa kukodi limouzine,unakodi kwa ajili ya kumtoa out,[bongo yapo]na kama huo uwezo huna haina neno.mnunulie chupi nzuri {zawadi kama hiyo wanawake wengi tunaipenda}mwambie kwa lugha ya mapenzi aivae ili umuone.vilevile ikifika anniversary yenu,isipite hivihivi fanya suprise ndogo yoyote ile,kama uwezo unakuruhusu,siku hiyo safiri nae,kaa nae hoteli nzuri,ukweli ata enjoy sana tu,baada ya kufanya yote hayo,usisahau kutupa matokeo humu j.f,jamani wanaume muwe hivyo,sio lazima haya niliyoyasema lakini wapeni
attention za kimahaba wake zenu.

Vipi Kisukari nikutumie CV yangu au tayari jimbo lina mgombea?
 
Jambo jengine,akikukasirisha,mjibu kwa njia ya jokes,au yeye akikasirika,mfano mwambie mmh sweetie wangu{kama una mtoto }sio kila wakati mama fulani hapana,mama John,mama beatrice haihusu.mara moja moja majina ya mapenzi yanatosha,mmh darling wangu unavyozidi kukasirika ndio unazidi kupendeza,uzuri wako unazidi kila siku. Atacheka tu.jokes jokes za mapenzi nazo zinasaidia. mara moja moja mke akienda kuoga mwambie mke wangu leo nataka nikusugue mgongo.unamsugua huku unazidi kumpa maneno ya mapenzi,jamani raha mwee kupendwa.lakini yote hayo unaweza ukamfanyia mwanamme na akatafuta nyumba ndogo,ila funzadume nimependa kwa uamuzi wako wa kutaka kumridhisha mke wako,maana kila kitu wanawake tuwafanyie wanaume.
 
Back
Top Bottom