Msaada: Sehemu nzuri tulivu ya kulala Morogoro

Msaada: Sehemu nzuri tulivu ya kulala Morogoro

Yaan kwa morogoro utapata za kumwaga maana kuna guest nyingi utafikiri nyumba za kuishi ,kila kona guest na sidhan kwa tz kama kuna mkoa wenye guest nyingi kuliko morogoro
Wezi wengi wa serikalini na CCM walioko dar walikimbiza pesa zao kujenga hoteli morogoro.Misemina mingi ya serikali wakawa wanapeleka hoteli za Morogoro ndio maana unaona nyingi sana.Baada ya Raisi Magufuli kukataa semina kufanyika mahotelini nyingi zinakufa kifo cha mende zimechoka hatari
 
kaka! nimesoma Moro chekechea, primary, secondary , chuo kikuu na mpaka hv sasa naishi misufin Morogoro, kama ni lodge bas moro kuna lodge za kutosha sana, we ukishuka tu msamvu stand, haina haja ya kuchukua boda wala usafir wowote ule yaan pale pale nyuma ya stand ya msamvu kuna lodge zaid ya 30 tena kali kwel kweli yaan ushindwe ww mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom