Msaada: Samsung A 51 imesumbua

Msaada: Samsung A 51 imesumbua

Wakuu habari zenu

Nina simu yangu nimenunua majuzi hapo(haina hata week?) aina ya samsung hzi A 51 series....sasa jana imeisha chaji ikazima nikaichaji fresh kuwaka ndo ikaanza mazengwe fingerprint haipo na pattern haichoreki (do not draw)

Msaada juu ya tatzo hili wakuu

Chief-Mkwawa na wengine msaada tafadhali.
Kama wadau wengine walivyohoji kuna uwezekano ni refurb, vyema ukairudisha wao ndio watafute solution.

Alternative download smart switch kwenye pc, kesha Nenda emergency software recovery halafu Fuata maelekezo, smart switch ina uwezo wa kuflash bila kupoteza data.
 
Kama wadau wengine walivyohoji kuna uwezekano ni refurb, vyema ukairudisha wao ndio watafute solution.

Alternative download smart switch kwenye pc, kesha Nenda emergency software recovery halafu Fuata maelekezo, smart switch ina uwezo wa kuflash bila kupoteza data.
 
Kama wadau wengine walivyohoji kuna uwezekano ni refurb, vyema ukairudisha wao ndio watafute solution.

Alternative download smart switch kwenye pc, kesha Nenda emergency software recovery halafu Fuata maelekezo, smart switch ina uwezo wa kuflash bila kupoteza data.
Hivi na kujua kwmba simu ni copy au OG unajuaje?
 
Kabla hujaigusa warudishie mzee
Nafikiri ushauri huo ndiyo mzuri

Ova
 
Poa,fanya hivyo
Kko wanauhuni sana
Kwenye uuzaji wa sim

Ova
Yule jamaa kwa muonekano ni kama shekhee mpemba hv anajiita big matelephone pia alituhakikishia ikizngua ileteni ........ngoja tuone kama atazngua hyo kesho si unajua moyo wa mtu kichaka.
 
Hivi na kujua kwmba simu ni copy au OG unajuaje?
Siku hizi hata hawatengenezi sana hizo copy, Bali wanauza hizo hizo OG lakini ambazo ni refurbished.

1. Kujua og washa simu Kisha download software kama cpu Z toka playstore itakuonesha hardware za ndani kama soc, ram, storage etc Kisha linganisha na specs halisi toka gsmarena.

2. Kujua refurb ingia download mode, shikilia Bixby ama home na power button na volume down kwa pamoja itaingia download mode Angalia model yake ni ipi?
 
Yule jamaa kwa muonekano ni kama shekhee mpemba hv anajiita big matelephone pia alituhakikishia ikizngua ileteni ........ngoja tuone kama atazngua hyo kesho si unajua moyo wa mtu kichaka.
Sure

Ova
 
Siku hizi hata hawatengenezi sana hizo copy, Bali wanauza hizo hizo OG lakini ambazo ni refurbished.

1. Kujua og washa simu Kisha download software kama cpu Z toka playstore itakuonesha hardware za ndani kama soc, ram, storage etc Kisha linganisha na specs halisi toka gsmarena.

2. Kujua refurb ingia download mode, shikilia Bixby ama home na power button na volume down kwa pamoja itaingia download mode Angalia model yake ni ipi?
Tatzo kumbe ni pattern ndo imesahaulika wakuu msaada hapo
 
Tatzo kumbe ni pattern ndo imesahaulika wakuu msaada hapo
Uki hard reset inatoka pattern lakini unapoteza data zote.

Unajua email na password yako? Ukikosea sana pattern utaletewa option ya kuweka email na pass.
 
Uki hard reset inatoka pattern lakini unapoteza data zote.

Unajua email na password yako? Ukikosea sana pattern utaletewa option ya kuweka email na pass.
Naam nipo hapa mkuu
 
Uki hard reset inatoka pattern lakini unapoteza data zote.

Unajua email na password yako? Ukikosea sana pattern utaletewa option ya kuweka email na pass.
Sawa mkuu ndo nafanyje kila kitu nakikukumbuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom