HiDEmYiD
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,862
- 3,481
Wakuu habari zenu
Nina simu yangu nimenunua majuzi hapo(haina hata week?) aina ya samsung hzi A 51 series....sasa jana imeisha chaji ikazima nikaichaji fresh kuwaka ndo ikaanza mazengwe fingerprint haipo na pattern haichoreki (do not draw)
Msaada juu ya tatzo hili wakuu
Chief-Mkwawa na wengine msaada tafadhali.
Uodates::....
Simu shida ni pattern ya simu imesahulika so haizimiki wala haifanyi chochote mpka correct pattern.
Nina simu yangu nimenunua majuzi hapo(haina hata week?) aina ya samsung hzi A 51 series....sasa jana imeisha chaji ikazima nikaichaji fresh kuwaka ndo ikaanza mazengwe fingerprint haipo na pattern haichoreki (do not draw)
Msaada juu ya tatzo hili wakuu
Chief-Mkwawa na wengine msaada tafadhali.
Uodates::....
Simu shida ni pattern ya simu imesahulika so haizimiki wala haifanyi chochote mpka correct pattern.