Hayakuhusu haya. Umejulia wapi? Lione kwanza.
Tumia product ya oriflame wanazo Sina 2 ziko mild.
duh hii kiboko!wadada mnatatizo gani?mpaka sabuni ya kuosha papuchi mnazo?
kweli wajinga ndio waliwao,
harufu ya papuchi ndio hhuleta hamu wakati wa ngono aiseeeeeee
papuchi huoshwa kistaarabu si kwa vurugu za sabuni izo mlizotengenezewa,
tumia kama unafangasi,mapunye,ukurutu na magonjwa mengine
LAKINI MDADA ANAYETUNZA PAPUCHI YAKE,KWA KUIGAWA KISTAARABU NA KWA MDA MWAFAKA
Huwezi kutafuta sabuni izo za ovyo ovyo
Wadada wasiojiheshimu na kutumika na wanaume wengi ndo wanatumia izo sabuni za ovyo ovyo
Oooops...! Tumieni Aloera pure kutoka kwenye mea wake, achanganye na asali ya nyuki wa dogo, baada ya mda unatoa magada ya aloevera na kubaki ile juice yake na asali then unachanganya na mafuta ya ubuyu hapo ukioshea inakua mwake mwake... Faida kibao inakua moto, mnato, tight, safi na yenye afya. N:B huu mseto bado naufanyia utafiti.
copy cuchi
ha ha haaaa na haileweshi wala kuumaduh hii kiboko!
nikiwe kumbe ata na wew kumbe washangaa?me mwenyew naona ka uyu mtu kachizika flani,kutafuta sabuni ya kuosha papuchi,yan atakuwa kavurugwa aiseeAcha ujinga ww,papuchi waiosha na sabuni kwani imekuwa vumba la samaki?
Habari wana jf!!nahitaji msaada wa kujua ni sabuni gani nzuri kwa ajili ya kusafisha papuchi kwasababu kwa baadhi ya post humu kuna sabuni zimetajwa sio nzuri na moja wapo nilikuwa natumia inaitwa feminine! Sasa wadau nisaidienien ipi nzuri ambayo haina madhara yoyote!
Lol. Mie nareact kwa haya masabuni (afu yanapunguza utamu, lol) Riwa na Roulette walishauri hapa inatakiwa maji tuuu, lakini kama una obssessions zako basi mild soap is better kama hautumii shower gel.
My gynae says the same. Im serious, nilitumia hiyo femfresh na nilienda hosp kabisa huku nimempania paw. Yaani staki hata kukumbuka, i was irritated all the time.
papuchi iko sehemu gani wakuu?
Yaan umenifundisha kitu kikubwa sana kumbe papuchi haitakiwi kusafishwa ndan lol!!kutakuwa gunziHe he he, sabuni haitakiwi iingie ndani, ni juu tu, vinginevyo utatembea na gunzi, ni tatizo kuweka sabuni ndani.
I can imagine Paw alikuwa kaogopaje, he he he
Ningekuwepo ningemchongea, hadi unafika hospital ushamng'oa meno mawili.
wadada mnatatizo gani?mpaka sabuni ya kuosha papuchi mnazo?
kweli wajinga ndio waliwao,
harufu ya papuchi ndio hhuleta hamu wakati wa ngono aiseeeeeee
papuchi huoshwa kistaarabu si kwa vurugu za sabuni izo mlizotengenezewa,
tumia kama unafangasi,mapunye,ukurutu na magonjwa mengine
LAKINI MDADA ANAYETUNZA PAPUCHI YAKE,KWA KUIGAWA KISTAARABU NA KWA MDA MWAFAKA
Huwezi kutafuta sabuni izo za ovyo ovyo
Wadada wasiojiheshimu na kutumika na wanaume wengi ndo wanatumia izo sabuni za ovyo ovyo
athante,nimekuelewa mkuu,karibu tenaMmmmmhhh asante mkuu ila sio kila anayeuliza basi papuchi yake inatumika vby la hasha ila hzi sabuni zipo ndo maana nikaona ni vyema kujua mawazo ya wadau kama wewe