0655173113Mwenye nayo naomba anitumie ama aiweke hapa
Inawezekana ndio kama utajenga vyumba vitatu kama mfumo wa fremu za maduka tena itabaki nafasi kubwa tu ama kama ukijenga vyumba vitatu pekee bila choo,sebule wala jikoKwa eneo la mita 14*14 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu nikabakiwa na eneo hata ya kupaki gari dogo
Mkuu hii nyumba ya bila choo wala sebule sijaielewaInawezekana ndio kama utajenga vyumba vitatu kama mfumo wa fremu za maduka tena itabaki nafasi kubwa tu ama kama ukijenga vyumba vitatu pekee bila choo,sebule wala jiko
Upumbavu uliovuka mipaka, anataka bure ilhali hawezi kukusaidia hata senti mojaKwa nini watanzani hatuheshimu kazi za watu wengine? Yaani tuna mitizamo ya ujamaa maandazi sana!!
Ningetaka ya pesa ningesema sijengi gorofa au hoteli mpaka kusema nilipie wakati watu wana ramani kibao ndani vitu vingne msiweke ugumu hata kama ni fani yakoUpumbavu uliovuka mipaka, anataka bure ilhali hawezi kukusaidia hata senti moja
Haya njoo chukuaNingetaka ya pesa ningesema sijengi gorofa au hoteli mpaka kusema nilipie wakati watu wana ramani kibao ndani vitu vingne msiweke ugumu hata kama ni fani yako