Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,554
- 2,160
Wadau Salaam! Nimeona picha ya Rais JK katika ukurasa wa mbele katika gazeti la Sauti ya watu Tanzania la leo tarehe 5 June 2009 akivunja chupa ya mvinyo kuashiria kuzindua kivuko kipya cha Mv.Magogoni katika hafla iliyofanyika eneo la Ferry,naomba wadau mnisaidie;Champaigne inavunjwa au inafunguliwa??
Last edited: