jaman dunia inamambo! mke wangu alikua anakuja narafikie hm cha ajabu rafikie alikua mtu wautani sn kama nilivo me. siku hiz haish kunipigia cm mpaka sa 6 ucku na me np mbali na wife kwan np mwanza kikaz wf yupo dar chuo.anapopiga cm huongea maneno yakimapenz na mitego nikahic bado utan! wf kumbe alishagundua kitambo na aliambiwa na rafikie mwingine kua rafikio anamtaka mmeo hivyo kuwa macho na wife kanambia hayo juz2 baada kuona rafikie kaongeza kas!.sasa naomben ushaur namna ya kukata mawasiliano nae.binafc sina mpango wakumla na naipenda ndoa yangu.
dunia ina mambo kweli na usipoangalia utapoteza ndoa yako kwa huyo mjinga..
huna haja ya kujikausha, mwambie ukweli mtumie sms ya ukali mwambie akome kabisa upuuzi wake apeleke huko huko..tena mwambie ushamwambia wife wako kuhusu hiyo tabia yake ya kukupigia simu hadi usiku wa manane na kuongea lugha ya mapenzi..
anatakiwa ajue kuwa mkeo amejua huo u*s*h*e*nzi wake..huyo sio rafiki ni mkia wa fisi na mkimuendekeza atawafilisi..