desmond3076
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 278
- 182
Wapendwa wana Jamii Forums salaam,
Ninaomba msaada wa matibabu au ushauri nini afanye, ndugu yangu huyu na mtu wa karibu, maana najua humu kuna madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama.
Rafiki yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni, yaani ameshatumia kila dawa lakini hapati auheni. Hali inakuwa mbaya anapokuwa kwenye hedhi, anawashwa hadi huruma, na maumivu pia makali.
Jamani anayefahamu solution ya hili kiukweli tunaomba ushauli, anateseka sana. Hedhi ikipita anakuwa shwari.
Jamani yeyote anayesoma ujumbe huu msaada kwenye tuta, tumsaidie please. Wataalam wa Afya Msaada.
Ninaomba msaada wa matibabu au ushauri nini afanye, ndugu yangu huyu na mtu wa karibu, maana najua humu kuna madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama.
Rafiki yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni, yaani ameshatumia kila dawa lakini hapati auheni. Hali inakuwa mbaya anapokuwa kwenye hedhi, anawashwa hadi huruma, na maumivu pia makali.
Jamani anayefahamu solution ya hili kiukweli tunaomba ushauli, anateseka sana. Hedhi ikipita anakuwa shwari.
Jamani yeyote anayesoma ujumbe huu msaada kwenye tuta, tumsaidie please. Wataalam wa Afya Msaada.