Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,440
Habari Wana Jf
Nina Ndugu Yangu Ni mwaka wa nne Sasa anasumbuliwa na Ugonjwa wa Lungs fungal infection ( fangasi kwenye mapafu) ameteseka Sana na huu ugonjwa kauza kila kitu lakin bado mambo ni mazito ana familia na watoto wawili familia inamtegemea bado.
Mwenye kujua Dawa au sehem sahihi ya kupata matibabu please Tunaomba huo msaada Amezunguka hospital nyingi bila mafanikio
Ahsante.
Nina Ndugu Yangu Ni mwaka wa nne Sasa anasumbuliwa na Ugonjwa wa Lungs fungal infection ( fangasi kwenye mapafu) ameteseka Sana na huu ugonjwa kauza kila kitu lakin bado mambo ni mazito ana familia na watoto wawili familia inamtegemea bado.
Mwenye kujua Dawa au sehem sahihi ya kupata matibabu please Tunaomba huo msaada Amezunguka hospital nyingi bila mafanikio
Ahsante.