habari wadau.
msaada kuhusu taarifa za ps2 a ps3.
nltaka kujua aina zake na utofauti wake.
mf.
>storage (na unajuaje hard disk ake n ngap)
>njia za kuweka magemu (Cd ,flash ,memory etc)
>na faida na changamoto zake.
>na jinsi ya kuingiza games na bei zake kama itawezekana.
>na pia taarifa yeyote muhimu m2 ambayo inapaswa ajue akitaka kununua
ASANTENI
Natumai nitapata ushirikiano wenu katika hili
msaada kuhusu taarifa za ps2 a ps3.
nltaka kujua aina zake na utofauti wake.
mf.
>storage (na unajuaje hard disk ake n ngap)
>njia za kuweka magemu (Cd ,flash ,memory etc)
>na faida na changamoto zake.
>na jinsi ya kuingiza games na bei zake kama itawezekana.
>na pia taarifa yeyote muhimu m2 ambayo inapaswa ajue akitaka kununua
ASANTENI
Natumai nitapata ushirikiano wenu katika hili