Msaada: Programming languages


Yah.. c na c++ ni core.. ila kwa sasa java inafanya kila kitu
 

Mi niliona kama ulinijibu kwa dhalau kama unadhani sijui nilichoshauli.. language zinategemeana.. ila kuna ambayo inatumika zaidi ya ngingine..
 
Last edited by a moderator:
Ingependeza uanze na pascal language,ni very basic na ni kiingereza kbsa wala haina complications
 
Je language gani ni nzuri
katika web pages design and apps develops
C language hii kidogo naijua bcz ukisoma mathematics ni lazma utasoma C language kwa chuo kikuu
Ila bado nataka nijue zaidi na zaidi
 
Mi niliona kama ulinijibu kwa dhalau kama unadhani sijui nilichoshauli.. language zinategemeana.. ila kuna ambayo inatumika zaidi ya ngingine..

No, hoja yangu ni language Ngumu na Nyepesi, always ninavyojua mtu akichagua kitu kwasabu ni kigumu hatakisoma kwa raha zaidi ya wasi wasi, na akichagua kitu chepesi basi atazidi kuogopa kwajinsi atakavyokua anaenda mbele.

Na nimeona umemention tools pale juu.
watu wanatumia tools sio kwasababu hawawezi kutengeneza zakwao lakini ni kwasababu ya muda.
Me huwezi ukanipa kazi yakuzipiga chini server za Microsoft na Sony kwenye Xbox Live na ukategemea nitajifungia ndani nahangaika kusuka bots zangu wakati Ddoser itakayonicost 5USD inatosha sana kuzipiga chini, na hii pia haimaanishi mtu asiye na knowledge anaweza fanya hivi eti kwasabu anaweza nunua tool mwenyewe, No. hii itategemea na uwezo wa mtu mwenyewe kuorient tools zake.

just to make it clear, have a nice day.
 

Very true. C/C++ can easily operate at machine level
 
Anza na C++ ..ni simple and is there for beginners like you ..
 
kwanza fikilia unasoma kwa ajili ya nin?. kama ww ni process au electrical au electromechanical . programming by block diagram inahusika sana pale kwenye ladder diagram e.t.c . Itakusaidia sana
 
Nenda vogella.com anaelzea vizuri kuliko sehem yoyote in the interent

Tafta video za buck roberts znaitwa mybringback zko youtube

Nakushauri uanze na java

Ila ingekua vizuri useme unataka kufanya programming ya kitu gani
 
Ndo maana wenzetu wazungu watoto wao miaka kumi na sita anaaplication za android.. coz hawajamuogopesha kuanza na java.. ww piga php na python alafu utegemee miaka ya 30 ndo uingie java

Naona haupo sahihi kwa kusisitiza kwamba Java ndio kila kitu, fahamu kila lugha ina uwezo wake na pia mapungufu yake. Inategemea na unachojaribu kufanikisha na mazingira na pia mteja anahitaji nini na kwa wakti gani.

Kuna kipindi nimetua huko kwenu Tanzania, kampuni fulani multi-national ilinipa kandarasi ya kutengeneza software fulani. Halafu ghafla wakanipa company ICT policy ya kutoka makao makuu Belgium, kwamba software zao zote lazima zitengenezwe kwa kutumia lugha ya Csharp. Kwa muda wangu wote kwenye hii taaluma ya programming, sikua mtumiaji sana wa Csharp, sasa ilinilazimu kuisoma upya na fasta ili nifanikishe mradi. Na pia kumbuka huu ulikua mradi very advanced, hivyo simple online tutorials hazingesaidia, ilikua lazima nikomae kwa kuingia ndani kwa kina.

Nimekupa huo mfano tu uelewe kwamba huwezi komaa na lugha moja siku zote eti kwamba ndio kila kitu, unaweza ukajikuta kwenye mazingira tofauti, hivyo ni bora uwe lugha kadhaa ndani ya kichwa chako.
 
Nakushauri anza na Java, uzuri wa Java ni kuwa inarun kila sehemu na kwa platform tofauti so Java inaweza kutengeneza website, Mobile App za Android na Desktop Applications. Pia inarun OS yoyote yenye JVM, linux, mac,windows.

Pia syntax ya Java inafanana sana na language zengine, ukijua java haitakuchukua muda sana kujua C# au PHP.

Pia Java ina soko kubwa la kazi duniani.

Kama una malengo specific inabidi uchague language inayoendana. So kama unataka kutengeneza native iPhone apps itabidi ujifunze ObjC/Swift, WP C# etc.
 
Start with Python. It will teach you a lot. Then you can go with whatever you need according to the future Job you want.
 
If you want to be a real programmer start to learn C/C++ will teach you how system works(from memory management to how other programming languages work), Lakini kwa Sasa, usije ukaacha kujifunza Python then Go to Data Structures and Algorithims
 
Jaman na simu ya c5 inanisumbua Internet kuiset pls na sitaki tumia lain ya 4g
 
Anza na java .. ingawa ngumu itakusaidia kujua zote zilizobakia.... ukianza na rahisi utashindwa kwenda kwenye ngumu.. mi niliaza na java.. ila sasa najua zote ndogo zake..
Language ndogo zake na Java ni zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…