Msaada: Profile za NACTE

Msaada: Profile za NACTE

mwita burure

Senior Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
192
Reaction score
39
Habari za wakati wana jf kuna ndungu zangu walifanya application nacte through CAS na application dedline ilikuwa ni tr 13 august baada ya dedline kila mmoja alipo ingia kwenye profile yake alikuwa system is runnig for selection be patient ila baada ya siku mbili walipoigia kwenye profile zao tena mmja alikuta profile yake haina view chosen progammes and futa machaguo ilikuwa na go to profile and log out but wengine zao zina view chosen progammes and futa machaguo naomba kufahamu kwamba utofauti wa hapo ni upi
 
Habari za wakati wana jf kuna ndungu zangu walifanya application nacte through CAS na application dedline ilikuwa ni tr 13 august baada ya dedline kila mmoja alipo ingia kwenye profile yake alikuwa system is runnig for selection be patient ila baada ya siku mbili walipoigia kwenye profile zao tena mmja alikuta profile yake haina view chosen progammes and futa machaguo ilikuwa na go to profile and log out but wengine zao zina view chosen progammes and futa machaguo naomba kufahamu kwamba utofauti wa hapo ni upi
Nikweli ilikua hivyo, hapo kati kati kuna kitu kimefanyika japo NACTE hawajataka kukizungumzia, kifupi nikwamba about 22jully walitoa selection za watu wa bachelor na wakasema kama hutaona umechaguliwa abgalia kwenye profile wameweka na sababu hadi wakatoa na link ukiifungua unakuta sababu, kwa watu waliokua wamechagua course zisizo endana na sifa zake aliyonayo mfano mtu ana diploma ya IT Akaaply kwa Account or Finance kwenye sababu walitoa not eligible then wanaweka na sababu then wanakwambia futa machaguo, kuna wengine matokeo yao ya form four yalikua mabaya i mean hakua na zile D Angalau Nne wanazotaka nao pia waliambiwa, but ghafla around 24th profile zikagoma kufunguka hata kama ukifanikiwa kuingia ile icon ya futa machaguo haikuwepo tena, hapo ndio TCU walikuja na GPA yao ya 3.5 wakati nacte walidahili watu kwa 2.7 afu wakawa wametoa na matokeo ikabid waclose website ili wafanye mazungumzo baada ya siku chache website ilikua open ila ukifungua unakuta wameandika System is running for selection wakati walikua wameshatoa matokea, mchezo walioufanya ni kwamba walipoclose website wakaanza mazungumzo na TCU wakakaziwa GPA ya 3.5 sio ile yao ya 2.7 then wakacheza mchezo wa ku act bado wanafanya selection, na hata sasahiv wamefungua system watu wa apply hata yule aliekua ameapply mwanzo akitaka ku edit choice anaedit badae wakifunga ndo wanatoa selection ila watakao toa sio NACTE ni TCU na kwa GPA ya 3.7 hivyo NACTE walicheza ka mchezo halafu wamepotezea kama hakikutokea kitu
Habari za wakati wana jf kuna ndungu zangu walifanya application nacte through CAS na application dedline ilikuwa ni tr 13 august baada ya dedline kila mmoja alipo ingia kwenye profile yake alikuwa system is runnig for selection be patient ila baada ya siku mbili walipoigia kwenye profile zao tena mmja alikuta profile yake haina view chosen progammes and futa machaguo ilikuwa na go to profile and log out but wengine zao zina view chosen progammes and futa machaguo naomba kufahamu kwamba utofauti wa hapo ni upi
Nikweli ilikua hivyo, hapo kati kati kuna kitu kimefanyika japo NACTE hawajataka kukizungumzia, kifupi nikwamba about 22jully walitoa selection za watu wa bachelor na wakasema kama hutaona umechaguliwa abgalia kwenye profile wameweka na sababu hadi wakatoa na link ukiifungua unakuta sababu, kwa watu waliokua wamechagua course zisizo endana na sifa zake aliyonayo mfano mtu ana diploma ya IT Akaaply kwa Account or Finance kwenye sababu walitoa not eligible then wanaweka na sababu then wanakwambia futa machaguo, kuna wengine matokeo yao ya form four yalikua mabaya i mean hakua na zile D Angalau Nne wanazotaka nao pia waliambiwa, but ghafla around 24th profile zikagoma kufunguka hata kama ukifanikiwa kuingia ile icon ya futa machaguo haikuwepo tena, hapo ndio TCU walikuja na GPA yao ya 3.5 wakati nacte walidahili watu kwa 2.7 afu wakawa wametoa na matokeo ikabid waclose website ili wafanye mazungumzo baada ya siku chache website ilikua open ila ukifungua unakuta wameandika System is running for selection wakati walikua wameshatoa matokea, mchezo walioufanya ni kwamba walipoclose website wakaanza mazungumzo na TCU wakakaziwa GPA ya 3.5 sio ile yao ya 2.7 then wakacheza mchezo wa ku act bado wanafanya selection, na hata sasahiv wamefungua system watu wa apply hata yule aliekua ameapply mwanzo akitaka ku edit choice anaedit badae wakifunga ndo wanatoa selection ila watakao toa sio NACTE ni TCU na
 
Nikweli ilikua hivyo, hapo kati kati kuna kitu kimefanyika japo NACTE hawajataka kukizungumzia, kifupi nikwamba about 22jully walitoa selection za watu wa bachelor na wakasema kama hutaona umechaguliwa abgalia kwenye profile wameweka na sababu hadi wakatoa na link ukiifungua unakuta sababu, kwa watu waliokua wamechagua course zisizo endana na sifa zake aliyonayo mfano mtu ana diploma ya IT Akaaply kwa Account or Finance kwenye sababu walitoa not eligible then wanaweka na sababu then wanakwambia futa machaguo, kuna wengine matokeo yao ya form four yalikua mabaya i mean hakua na zile D Angalau Nne wanazotaka nao pia waliambiwa, but ghafla around 24th profile zikagoma kufunguka hata kama ukifanikiwa kuingia ile icon ya futa machaguo haikuwepo tena, hapo ndio TCU walikuja na GPA yao ya 3.5 wakati nacte walidahili watu kwa 2.7 afu wakawa wametoa na matokeo ikabid waclose website ili wafanye mazungumzo baada ya siku chache website ilikua open ila ukifungua unakuta wameandika System is running for selection wakati walikua wameshatoa matokea, mchezo walioufanya ni kwamba walipoclose website wakaanza mazungumzo na TCU wakakaziwa GPA ya 3.5 sio ile yao ya 2.7 then wakacheza mchezo wa ku act bado wanafanya selection, na hata sasahiv wamefungua system watu wa apply hata yule aliekua ameapply mwanzo akitaka ku edit choice anaedit badae wakifunga ndo wanatoa selection ila watakao toa sio NACTE ni TCU na kwa GPA ya 3.7 hivyo NACTE walicheza ka mchezo halafu wamepotezea kama hakikutokea kitu

Nikweli ilikua hivyo, hapo kati kati kuna kitu kimefanyika japo NACTE hawajataka kukizungumzia, kifupi nikwamba about 22jully walitoa selection za watu wa bachelor na wakasema kama hutaona umechaguliwa abgalia kwenye profile wameweka na sababu hadi wakatoa na link ukiifungua unakuta sababu, kwa watu waliokua wamechagua course zisizo endana na sifa zake aliyonayo mfano mtu ana diploma ya IT Akaaply kwa Account or Finance kwenye sababu walitoa not eligible then wanaweka na sababu then wanakwambia futa machaguo, kuna wengine matokeo yao ya form four yalikua mabaya i mean hakua na zile D Angalau Nne wanazotaka nao pia waliambiwa, but ghafla around 24th profile zikagoma kufunguka hata kama ukifanikiwa kuingia ile icon ya futa machaguo haikuwepo tena, hapo ndio TCU walikuja na GPA yao ya 3.5 wakati nacte walidahili watu kwa 2.7 afu wakawa wametoa na matokeo ikabid waclose website ili wafanye mazungumzo baada ya siku chache website ilikua open ila ukifungua unakuta wameandika System is running for selection wakati walikua wameshatoa matokea, mchezo walioufanya ni kwamba walipoclose website wakaanza mazungumzo na TCU wakakaziwa GPA ya 3.5 sio ile yao ya 2.7 then wakacheza mchezo wa ku act bado wanafanya selection, na hata sasahiv wamefungua system watu wa apply hata yule aliekua ameapply mwanzo akitaka ku edit choice anaedit badae wakifunga ndo wanatoa selection ila watakao toa sio NACTE ni TCU na
Ina maana alieomba mwanzo nacte na gpa ya 2.7 ni kusema hatapata chuo wamekula hela tyr ama
 
Habari za wakati wana jf kuna ndungu zangu walifanya application nacte through CAS na application dedline ilikuwa ni tr 13 august baada ya dedline kila mmoja alipo ingia kwenye profile yake alikuwa system is runnig for selection be patient ila baada ya siku mbili walipoigia kwenye profile zao tena mmja alikuta profile yake haina view chosen progammes and futa machaguo ilikuwa na go to profile and log out but wengine zao zina view chosen progammes and futa machaguo naomba kufahamu kwamba utofauti wa hapo ni upi
Kwangu iko hivyo hadi sasa! Nasikia wemeongeza muda hadi tarehe 18/8/2016 which is today!
 
Ina maana alieomba mwanzo nacte na gpa ya 2.7 ni kusema hatapata chuo wamekula hela tyr ama
Yaa hatapata, ndomaana hata ukiangalia kwenye guidebook ya Diploma pale kwenye "NOTE" 2. Imessma kabisa kwa mtu asieyekua na GPA ya 3.5 anashauliwa asitume
 
Back
Top Bottom