mwita burure
Senior Member
- Jul 8, 2016
- 192
- 39
Habari za muda huu wana jukwaa kuna kitu kinanitatiza kidogo katika application za NACTE especily upande wa education awali mfumo ulipo funguliwa kwa walioaply upande wa education ulikuwa ni ordinary diploma in primary education durution ilikuwa 3yrs both private and government baada ya majibu kutangazwa wale wa private walichaguliwa lakini wale wa government hakuna aliye selected kwa sababu zisizo na msimara special diploma watake chance mara selikali haijatoa tamko sababu nyingi mara usifute machaguo wakati watu walifuta kitambo
Main point CKU KAMA TATU ZILIZO PITA WATU WAMEKUTA PROFILE ZAO ZIMEANDIKWA TECHINICIAN CERTIFICATE IN PRIMARY EDUCATION DURUTION 2 YRS TOFAUTI NA MWANZON NAOMBA KUFAHAMU ANAESOMA DIPLOMA NI NANI? NA TECHINICIAN CERTIFICATE IN PRIMARY EDUCATION NI NANI? NA JE HUYO TECHINICIAN CERTIFICATE IN PRIMARY EDUCATION AKIMALIZA 2 YRS ANAAJIRIWA AU AMALIZE DIPLOMA ASANTENI
Main point CKU KAMA TATU ZILIZO PITA WATU WAMEKUTA PROFILE ZAO ZIMEANDIKWA TECHINICIAN CERTIFICATE IN PRIMARY EDUCATION DURUTION 2 YRS TOFAUTI NA MWANZON NAOMBA KUFAHAMU ANAESOMA DIPLOMA NI NANI? NA TECHINICIAN CERTIFICATE IN PRIMARY EDUCATION NI NANI? NA JE HUYO TECHINICIAN CERTIFICATE IN PRIMARY EDUCATION AKIMALIZA 2 YRS ANAAJIRIWA AU AMALIZE DIPLOMA ASANTENI