NISAMEHE KWA KUCHELEWA KUTOA MTAZOMO WANGU NA POLE KWA TATIZO MKUU............
Sijuti kagusia sehemu muhimu kabisa mkuu ni vyema ukawa na theme ambayo ni responsive na bila kusahau unapaswa kuweka code za matangazo ambazo sio fixed in size yani ambazo zitakuwa responsiv kwa kifaa chochote.
Ila cha muhimu kabisaa ni kuhusu hizi blogs zako ulizo nitumia PM hazija kamilika katika swala la design.....kwa nini nasema hivyo,blogs zako zote hazina pages zina front page (home page) peke yake na ndo nyenye matangazo ya adsense,hivyo basi visitor akiingia atapata kuona matangazo kwenye front page na kwenye post husika "maana kuna matangazo nimeona umeeka katikati ya post ila si zote" lazima impression italingana na watembeleaji wanaoona matangazo front page ila haito endanana na pageviews za huyo visitor maana akisha ondoka kwenye front page kwenda kwenye pages za ndani hauna matangazo huko ambayo yata count pageviews........
Kwa kifupi huwez kuwa na pageviews za adsense zinazo endana na blog analytics kama huna page zenyewe au huna matangazo kwenye hizo page.
Kwa upande wako wewe huna vyote..........yani huna pages wala matangazo kwenye hizo pages.....una matangazo kwenye front page tyu.
NB;swala la theme ambayo ni responsive na ad unit ambazo ni responsive ni muhimu.
mfano;desktop view
View attachment 728334
mfano;mobile view
View attachment 728335
link ya blog....
Medicalneeds360
BEST OF LUCK.........