Kitaeleweka
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 394
- 88
Habari
Natumia hp G62 laptop na huawei E173 modem mtandao wa airtel shida ni kila nikiconnect hiyo modem ndo kustuck kunaanza, ikiwa disconnected hamna shida kabisa. Naomba ushauri wa utatuzi wa jambo hili. Thanx in advance
Natumia hp G62 laptop na huawei E173 modem mtandao wa airtel shida ni kila nikiconnect hiyo modem ndo kustuck kunaanza, ikiwa disconnected hamna shida kabisa. Naomba ushauri wa utatuzi wa jambo hili. Thanx in advance