msaada please

daytime dreamer.
chukua muda kujua kama mahusiano yako ni ya kiukweliii au kifisadi ndipo uamue.

sihitaji kitu kutoka kwake nina maisha yangu naweza kujitegemea kwa kila kitu, nimejitosheleza na wala hana kitu cha kunifanya nimfisadi, na kama ni maswala ya kimaisha tunalingana
 
sihitaji kitu kutoka kwake nina maisha yangu naweza kujitegemea kwa kila kitu, nimejitosheleza na wala hana kitu cha kunifanya nimfisadi, na kama ni maswala ya kimaisha tunalingana
kwa hiyo hata hilo penzi si kitu inachokitaka kutoka kwake?
najaribu kupata picha aina ya maisha mtakayoishi baada ya ndoa hehe.
 
Swali la kizushi, Je wewe umeshawahi kuwa na mpenzi/wapenzi wengine kabla ya huyo unayetaka kufunga nae ndoa???


Yes nilishwahi kuwa na mpenzi nimekaa nae miaka minne lakini akaja kwenda mbali akoa mtu mwingine, kuhusu swala la kujuana ananiambia tabia hazijifichi hivyo alivyo ndo alivyo na siyo kwamba anaficha makucha.


Joyce,

Fanya uamuzi wako kulingana na unavyomuona/unavyompenda huyo rafiki yako, suala la kuchunguza tabia huwezi kuzipata hata mkikaa miaka saba ya uchumba.

Suala kubwa na la msingi ni kwenda pale ANGAZA kuhakiki Afya zenu halafu suala la tabia mtarekebishana mbele kwa mbele.
 
Kashaija!!

kuna ukweli katika maandishi yako kwa sababu unawezakaa na mtu mwenye tabia zake akazificha kama makucha hadi hapo utakapoishi naye ndo utamjua. So akili mu kichwa ila muda mrefu wa kutosha unawezakukusaidia kujua hata hint za huyo mwenza kama utakuwa makini.

Bado nahisi 3 months ni muda mfupi kuingia kwenye committment kubwa kama ya marriage.
 
[/b]

joyce,

fanya uamuzi wako kulingana na unavyomuona/unavyompenda huyo rafiki yako, suala la kuchunguza tabia huwezi kuzipata hata mkikaa miaka saba ya uchumba.

Suala kubwa na la msingi ni kwenda pale angaza kuhakiki afya zenu halafu suala la tabia mtarekebishana mbele kwa mbele.


thax tumeishaenda
 
kwa hiyo hata hilo penzi si kitu inachokitaka kutoka kwake?
Najaribu kupata picha aina ya maisha mtakayoishi baada ya ndoa hehe.


nimesema hivyo sababu watu wameona kwamba mimi kuna kitu nataka kwake thats why nataka ndoa haraka ni katika kueleweshana tu hali halisi
 
kashaija!!

Kuna ukweli katika maandishi yako kwa sababu unawezakaa na mtu mwenye tabia zake akazificha kama makucha hadi hapo utakapoishi naye ndo utamjua. So akili mu kichwa ila muda mrefu wa kutosha unawezakukusaidia kujua hata hint za huyo mwenza kama utakuwa makini.

Bado nahisi 3 months ni muda mfupi kuingia kwenye committment kubwa kama ya marriage.


asante dada
 
Mi nashauri
kwanza kuweni best friends kisha ndipo mtakapopima kwa kiwango gani mnahitajiana. then usimpe tundi maana akishaonja umeumia
 
Mi nashauri
kwanza kuweni best friends kisha ndipo mtakapopima kwa kiwango gani mnahitajiana. then usimpe tundi maana akishaonja umeumia

Tena ukimpa atajipinda kisawasawa ili akupagawishe ili ukolee ili ukubali akuoe and then ......................
 
jamani dada j,miezi mitatu ni michache sana,embu kwanza chukua mda hata miezi 9,umfahamu zaidi,background yake,tabia yake etc,usiogope hata kama umri wako umeenda sana,tafadhali mfahamiane kwanza.
 
Joyceline,

Olewa dada: kama mmeshapima na mnapendana haina haja ya kucheleweshana! Miezi 6 inatosha!

Wahenga walisema: ukivuta manati mda mrefu, basi utamkosa ndege!
 
nilikuwa chuo lakini alikuwa ananiambia niache shule niondoke naye kitu ambacho nisingeweza, niende huko nikishidwa kuendelea itakuwaje? na nilikuwa naishi na single parents ambaye mpaka hapo nilipofikia alihangaika sana so sikutaka kumuangussha mama yangu..

Sasa kutokana na maelezo yako inaonyesha kuwa Jamaa hakuwa na mipango ya dhati na wewe. Kama angekuwa anampango wa kukuoa yeye angeondoka kwenda huko bila ya kukulazimisha uache masomo yako Chuoni. Kwani ulikuwa mwaka wa kwanza mpaka jamaa aone kuwa itakuwa muda mrefu sana kukusubiri umalize chuo.
 
Siyo kwamba nina tamaa hapana na wala siyo kwamba kuna kitu natak kutoka kwake hapana nimeuliza tu nijue, na wal siyo kwamba nahitaji san kuolewa najua ndoa inapagwa na Mungu na mimi ni mkristo kama siku yangu imefika itakuwa tu

Sio hivyo mama,ni mpaka na wewe u-play part !hivi unaamini wale wanaojiua labda kwa kujinyonga au kujipiga risasi coz wameachwa na wapenzi wao au namna yoyote ile nayo imepangwa na Mungu??(ni swali tu)
 
Siyo kwamba nina tamaa hapana na wala siyo kwamba kuna kitu natak kutoka kwake hapana nimeuliza tu nijue, na wal siyo kwamba nahitaji san kuolewa najua ndoa inapagwa na Mungu na mimi ni mkristo kama siku yangu imefika itakuwa tu

Sio hivyo mama,ni mpaka na wewe u-play part !hivi unaamini wale wanaojiua labda kwa kujinyonga au kujipiga risasi coz wameachwa na wapenzi wao au namna yoyote ile nayo imepangwa na Mungu??(ni swali tu)

Nachotaka kusema Muumba atufungi kamba sasa tukaoe ....lazima ufanye maamuzi mwenyewe, sasa nataka kuoa\kuolewa....malaika wake hata shuka kukujulisha!(ni ushauri tu)
 
Unajua wanawake wengi iwa wanakuwa wanataama ya kutaka kuolewa ukimpa ofa hiyo basi hata maswala ya kuuliza huyu jamaa tapeli au vp hana basi yeye ndo kwanza ataongeza upendo mala dufu kwa jamaa kumbe jamaa lengo lake kula mzigo na kuishia.

Fidel,
Hao ni wale ambao wako desperate ni ni kwa wote men and women.Mbona hata wako wanaume wengi wanang'ang'ani kuoa wanawake pia bila hata kujali lolote?
 
Joyceline,

Olewa dada: kama mmeshapima na mnapendana haina haja ya kucheleweshana! Miezi 6 inatosha!

Wahenga walisema: ukivuta manati mda mrefu, basi utamkosa ndege!

si mchezo kaka, inaweza katika kabisa acha kumkosa, dada cha muhimu ni kuangalia msimamo wake wa maisha unaendena na unahohitaji, kama misimamo inaendana olewa naye mapema,kama misimamo ya kimaisha haiendani mteme tu, ukisema ukae sana utatumiwa ndugu yangu kisha utaachwa, ladha itapungua,na kila unavyozidi kukaa naye uwiano wa kuolewa ndo una shuka kama ilikua ni 99% inaweza shuka mpaka 0.2%
 
Joyceline
nilikimbilia huku kusoma post yako nikidhani umemegwa na unaomba msaada usimegwe tena.
anyway kuhusu kuamua au kutoamua kuishi NDOANI ni suala la wapendwa wawili kujadili.
Hapa kila mtu atakuja na observations zake ila maamuzi yanapaswa kufikiwa na wawili tu. Ila naamini mkongwe FMES mwenye sauti za umeme atakupa uzoefu wake ktk hili.
Mkulungenge Msanii
Wewe unatafuta matatizo.
Shauri yako.
ES tena?
 
watu mnapokutana na kuanzisha uhusiano inachukua muda gani mpaka muamue kufunga ndoa?
mnaweza kuwa kwenye uhusiano na mtu baada ya miezi mitatu akwambie anataka mfunge ndoa kwa hiyo muanze maandalizi?

nataka disadvantage na advantage na huwa ni kawaida vitu kama hivi au kunakuwa na tatizo
Haya mambo mama, hayana sheria wala kanuni.

Ni kumuomba MUNGU tu.

Hakuna ndoa inayofanyika bila kibali cha Almighty.
Anzisheni mchakato,mtapofikia ndipo hapo.

Angalizo:NO PRE-KUMEGANA.
 
Back
Top Bottom