- Thread starter
- #21
daytime dreamer.
chukua muda kujua kama mahusiano yako ni ya kiukweliii au kifisadi ndipo uamue.
sihitaji kitu kutoka kwake nina maisha yangu naweza kujitegemea kwa kila kitu, nimejitosheleza na wala hana kitu cha kunifanya nimfisadi, na kama ni maswala ya kimaisha tunalingana