Msaada please!

Msaada please!

Joined
Jul 31, 2017
Posts
37
Reaction score
15
Habari wana jf bila shaka mu wazima Mimi ni kijana wa kitanzania nimekua nikihangaika kutafuta kazi kwa mda mrefu sana kikubwa kimenileta hapa ni kukuomba wewe ndugu kama utaweza nisaidia tatizo hili.
Elimu yangu: Certificate of tourism and tour guiding,
Na nilishawahi kufanya kazi kama bellboy katika hotel ya kunduchi beach hotel na mayfair hotel na pia nimefanya kazi kama team member wa pizza hut....Je mnaweza kunisaidia hata ukinipatia emails za makampuni yoyote au connection zozote za ajira ambazo nitafiti kutokana na qualifications zangu tafadhali.
Waweza nisaidia na kuwasiliana nami kupitia email yangu: josephkassero5@gmail.com

ASANTENI.
 
Habari wana jf bila shaka mu wazima Mimi ni kijana wa kitanzania nimekua nikihangaika kutafuta kazi kwa mda mrefu sana kikubwa kimenileta hapa ni kukuomba wewe ndugu kama utaweza nisaidia tatizo hili.
Elimu yangu: Certificate of tourism and tour guiding,
Na nilishawahi kufanya kazi kama bellboy katika hotel ya kunduchi beach hotel na mayfair hotel na pia nimefanya kazi kama team member wa pizza hut....Je mnaweza kunisaidia hata ukinipatia emails za makampuni yoyote au connection zozote za ajira ambazo nitafiti kutokana na qualifications zangu tafadhali.
Waweza nisaidia na kuwasiliana nami kupitia email yangu: josephkassero5@gmail.com

ASANTENI.
Jiunge na group letu la telegram kwa link hii.ila ukijiunga kupiga stori ni mwiko.
 
Andika barua,nakala ya vyeti,na cv tembeza kwenye makampuni husika ipo siku watakuita
 
Google company zote za tourism apa bongo, ziandke kwenye karatasi, andaa CVs zako vizuri na barua za maombi ya kazi. KISHA ANZA KUTUMA NA KUPELEKA WE MWENYWE KATIKA HIZO KAMPUNI, TENA IKIWEZEKANA OMBA KUKUTANA NA WAMILIKI WA HIZO KAMPUNI UONGEE NAO USO USO. Acha uoga SHOOT YOUR SHOTS. Thank me later
 
Habari wana jf bila shaka mu wazima Mimi ni kijana wa kitanzania nimekua nikihangaika kutafuta kazi kwa mda mrefu sana kikubwa kimenileta hapa ni kukuomba wewe ndugu kama utaweza nisaidia tatizo hili.
Elimu yangu: Certificate of tourism and tour guiding,
Na nilishawahi kufanya kazi kama bellboy katika hotel ya kunduchi beach hotel na mayfair hotel na pia nimefanya kazi kama team member wa pizza hut....Je mnaweza kunisaidia hata ukinipatia emails za makampuni yoyote au connection zozote za ajira ambazo nitafiti kutokana na qualifications zangu tafadhali.
Waweza nisaidia na kuwasiliana nami kupitia email yangu: josephkassero5@gmail.com

ASANTENI.
Unamjua yule dada wa reception anaitwa Anitha moja ya hizo Hotel ulizowahi fanya kazi siwezi itaja Msalimie.
 
Back
Top Bottom